EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kiliamua kuahirisha mikutano yake ya kampeni kwa siku ya jana iliyopaswa kufanyika katika maeneo ya King'ori, Maroroni naMakiba, kutokana na mgombea wake, Nassari kufiwa na baba yake mdogo Elisa Nassari.
Mapema kabla ya kwenda kwenye mazishi hayo, mgombea huyo na timu zimaya kampeni walikwenda Hospitali ya Nkoaranga ambako walitembelea wagonjwa katika wodi mbalimbali kuwatakia uponaji wa haraka na afya njema.
Katika ziarahiyo pia waliweza kufika katika kituo cha watoto yatima cha Nkoaranga kinachohudumiwa na hospitali hiyo na kujumuika nao kwa muda.
Mapema kabla ya kwenda kwenye mazishi hayo, mgombea huyo na timu zimaya kampeni walikwenda Hospitali ya Nkoaranga ambako walitembelea wagonjwa katika wodi mbalimbali kuwatakia uponaji wa haraka na afya njema.
Katika ziarahiyo pia waliweza kufika katika kituo cha watoto yatima cha Nkoaranga kinachohudumiwa na hospitali hiyo na kujumuika nao kwa muda.