Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wakuu JF
Wafuasi wa Chadema jana walifunga Barabara ya Moshi-Arusha eneo la Maji ya Chai na kulishambulia gari walilokuwa limebeba waandishi wa habari.
Waliokuwa katika msafara wa CCM ulikuwa ukipita barabara hiyo ukitokea kata ya Leguruki.
Muda mfupi baadaye polisi walifika na katika eneo hilo na kuwatawanya wafuasi ho.
Katika hatua nyingine gari la wafuasi wa Chadema lilivamia mkutano wa CCM katika kata ya Leguruki na kutimua vumbi uwanjani hapo kwa muda kabla ya kuondoka na kutokomea kusikojulikana.
SOURCE MWANANCHI MACH 19.2012.
Wafuasi wa Chadema jana walifunga Barabara ya Moshi-Arusha eneo la Maji ya Chai na kulishambulia gari walilokuwa limebeba waandishi wa habari.
Waliokuwa katika msafara wa CCM ulikuwa ukipita barabara hiyo ukitokea kata ya Leguruki.
Muda mfupi baadaye polisi walifika na katika eneo hilo na kuwatawanya wafuasi ho.
Katika hatua nyingine gari la wafuasi wa Chadema lilivamia mkutano wa CCM katika kata ya Leguruki na kutimua vumbi uwanjani hapo kwa muda kabla ya kuondoka na kutokomea kusikojulikana.
SOURCE MWANANCHI MACH 19.2012.