PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
Wasalamu wanajamvi?
Nianze na kusema kwamaba nawapongeza sana uongozi wa juu wa Chadema mpaka hapa walipo fika kwa mafanikio makubwa ya kisiasa zaidi ya chama chochote cha siasa kilichowahi kutokea hapa kwetu Tanzania.
Pamoja na kuwa na mafanikio hayo haimaanishai kwamaba hakuna wanapokosea, kupo tena kwingi tu. Kwamfano wamefanikiwa sana kujiwekeza katika vyuo vikuu na mashule kwani kwasasa ukiwana unadai haki ukiwa shuleni jibu la kwanza unaloambiwa wewe ni Chadema. kwa hilo nawasifu sana kwa kuamsha ari ya wanafunzi.
Kwa mimi binafsi ningepesa sana kuona Chadema kwasasa inachukua hatua na kuanza kujiwekeza kwenye makundi mengine ya kijamii kwa mfano akina mama, sijui baraza la wanawake Chadema linafanaya nini? Sijui kwanini viongozi wa juu hawataki kuchukua hatua ya kulijenga baraza hili na hatimaye chama kwa ujumla wake, wafanya kazi waserikali vile vile.
Serikali kivuli ya Chadema yaani serikali ya upinzani haifanyi kazi yake ipasavyo hata kidogo, kuweza kusema kwamaba hiki ni chama mbadala, bado siwezi sema hivyo sijaona hata waziri kivuli mmoja ambaye ni active memba kwenye wizara yake.
Ningependa kuona na kusikia waziri kivuli wa sheria anatembelea mahakama kuu na kuona utendajio wao wakazi, huko ni kujifunza na kujiweka karibu na hao watendaji wakuu wa serikali yeyote duniani, vivyo hivyo kwa waziri kivuli wa mambo ya ndani, kwa mfano atembelee magereza, kwa waziri kivuli wa afya naye awepo mahospitali. Kwangu mimi huko ndiko kuwa chama mbadala unayejiandaa kuchukua madaraka watati wowote.
Amka Chadema anza kufanya kazi.
Natanguliza shukrani,
J J Pikadili.
Nianze na kusema kwamaba nawapongeza sana uongozi wa juu wa Chadema mpaka hapa walipo fika kwa mafanikio makubwa ya kisiasa zaidi ya chama chochote cha siasa kilichowahi kutokea hapa kwetu Tanzania.
Pamoja na kuwa na mafanikio hayo haimaanishai kwamaba hakuna wanapokosea, kupo tena kwingi tu. Kwamfano wamefanikiwa sana kujiwekeza katika vyuo vikuu na mashule kwani kwasasa ukiwana unadai haki ukiwa shuleni jibu la kwanza unaloambiwa wewe ni Chadema. kwa hilo nawasifu sana kwa kuamsha ari ya wanafunzi.
Kwa mimi binafsi ningepesa sana kuona Chadema kwasasa inachukua hatua na kuanza kujiwekeza kwenye makundi mengine ya kijamii kwa mfano akina mama, sijui baraza la wanawake Chadema linafanaya nini? Sijui kwanini viongozi wa juu hawataki kuchukua hatua ya kulijenga baraza hili na hatimaye chama kwa ujumla wake, wafanya kazi waserikali vile vile.
Serikali kivuli ya Chadema yaani serikali ya upinzani haifanyi kazi yake ipasavyo hata kidogo, kuweza kusema kwamaba hiki ni chama mbadala, bado siwezi sema hivyo sijaona hata waziri kivuli mmoja ambaye ni active memba kwenye wizara yake.
Ningependa kuona na kusikia waziri kivuli wa sheria anatembelea mahakama kuu na kuona utendajio wao wakazi, huko ni kujifunza na kujiweka karibu na hao watendaji wakuu wa serikali yeyote duniani, vivyo hivyo kwa waziri kivuli wa mambo ya ndani, kwa mfano atembelee magereza, kwa waziri kivuli wa afya naye awepo mahospitali. Kwangu mimi huko ndiko kuwa chama mbadala unayejiandaa kuchukua madaraka watati wowote.
Amka Chadema anza kufanya kazi.
Natanguliza shukrani,
J J Pikadili.