Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,353
- 9,182
Mkuu wa chama chao wanamtetea kwa kila jambo ovu na baya atakalo fanya. Wapo radhi warushe magumi na mateke.
Alipovunja mguu kwa ulevi na starehe zake binafsi. Walitoka vifua mbele na hadharani wakadai ametekwa na wasiojurikana aka wazee. Lakini baadae waliumbuka na kukosa la kusema.
Kuhusu skendali la kutafuna ruzuku na michango ya wanachama hapo ndio walikuwa tayari kumchapa mtu vibao hadharani. Hata kama kulikuwa na ushahidi wa wazi wa mazingira uliomtia hatiani Mbowe.
Sasa hivi kabaninishwa kwa skendo na tuhuma za kutisha. Wanadai amebambikiwa.
Je, mahakama amabcho ni chombo huru kikimtia hatiani watasemaje?
My take: We need to be very serious when dealing with political affairs.
Alipovunja mguu kwa ulevi na starehe zake binafsi. Walitoka vifua mbele na hadharani wakadai ametekwa na wasiojurikana aka wazee. Lakini baadae waliumbuka na kukosa la kusema.
Kuhusu skendali la kutafuna ruzuku na michango ya wanachama hapo ndio walikuwa tayari kumchapa mtu vibao hadharani. Hata kama kulikuwa na ushahidi wa wazi wa mazingira uliomtia hatiani Mbowe.
Sasa hivi kabaninishwa kwa skendo na tuhuma za kutisha. Wanadai amebambikiwa.
Je, mahakama amabcho ni chombo huru kikimtia hatiani watasemaje?
My take: We need to be very serious when dealing with political affairs.