Kweli CCM sasa wanaweweseka, yaani neno la kwanza kabisa katika blog yao ni CHADEMA, hiyo heading ni story ya kwanza kabisa iliyopo kwenye blog ya ccm leo.
Kweli nape na wenzake sasa wanahaha!
ila nimeshangaa kwamba kwenye menu ya SPOTI wameweka link kwenda timu mbalimbali za mpira lakini hakuna Yanga wala Newcastle hii inaonyesha mwenyekiti hausiki na hii blog au hana interest wala hajui nini kiko kwenye hiyo blog
Kweli nape na wenzake sasa wanahaha!
ila nimeshangaa kwamba kwenye menu ya SPOTI wameweka link kwenda timu mbalimbali za mpira lakini hakuna Yanga wala Newcastle hii inaonyesha mwenyekiti hausiki na hii blog au hana interest wala hajui nini kiko kwenye hiyo blog