CHADEMA wanapodandia kila jambo kutafuta sifa...!

CHADEMA wanapodandia kila jambo kutafuta sifa...!

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Kweli CCM sasa wanaweweseka, yaani neno la kwanza kabisa katika blog yao ni CHADEMA, hiyo heading ni story ya kwanza kabisa iliyopo kwenye blog ya ccm leo.

Kweli nape na wenzake sasa wanahaha!

ila nimeshangaa kwamba kwenye menu ya SPOTI wameweka link kwenda timu mbalimbali za mpira lakini hakuna Yanga wala Newcastle hii inaonyesha mwenyekiti hausiki na hii blog au hana interest wala hajui nini kiko kwenye hiyo blog
 
Watapiga porojo kwenye blog huku CDM ikiikamata kusini kwa mapambano ya ardhini wao magamba wamejifungia ofisini wanapiga propaganda kwenye blog
 
Kweli CCM sasa wanaweweseka, yaani neno la kwanza kabisa katika blog yao ni CHADEMA, hiyo heading ni story ya kwanza kabisa iliyopo kwenye blog ya ccm leo.

Kweli nape na wenzake sasa wanahaha!

ila nimeshangaa kwamba kwenye menu ya SPOTI wameweka link kwenda timu mbalimbali za mpira lakini hakuna Yanga wala Newcastle hii inaonyesha mwenyekiti hausiki na hii blog au hana interest wala hajui nini kiko kwenye hiyo blog

Mkitembelea hizo blog mtoe taarifa kamili humu maana mtu kama mimi nina aleji na hizo rangi za kijani,nikiiona popote tu siku yangu inaharibika
 
waacheni wafu wazikane wao kwa wao.Mungu Ibariki Tanzania,Mungu wabariki wapenda mabadiliko wote na Mungu endelea kuibaliki CHADEMA mílele.
 
Kichwa cha Habari na Habari Uliyoandika Haziendani

CHADEMA wakidandia CCM wanafanya nini?
 
Kichwa cha habari hakisadifu habari yenyewe.
Siku nyingne mtoa mada jipange upya.
 
Aliyeanzisha uzi huu alikusudia nini...?
Heading yake haisadifu taarifa yenyewe kabisaaa!!!
 
kweli kufikiri ni sanaa, si kwa kila mtu! sioni kipi kisichoeleweka, ngoja tusubiri tena
Labda kama ulikuwa unaandika ushairi...! Lakini kwa habari wakurudia kuisoma na kuielewa ni wewe, huwezi kusema CDM wanapodandia kila jambo kutafuta sifa halafu habari yenyewe inazungumzia blog ya ccm na kiwewe cha kuitaja CDM.
Kweli nape na wenzake sasa wanahaha!

ila nimeshangaa kwamba kwenye menu ya SPOTI wameweka link kwenda timu mbalimbali za mpira lakini hakuna Yanga wala Newcastle hii inaonyesha mwenyekiti hausiki na hii blog au hana interest wala hajui nini kiko kwenye hiyo blog
 
Labda kama ulikuwa unaandika ushairi...! Lakini kwa habari wakurudia kuisoma na kuielewa ni wewe, huwezi kusema CDM wanapodandia kila jambo kutafuta sifa halafu habari yenyewe inazungumzia blog ya ccm na kiwewe cha kuitaja CDM.


CDM wanapodandia kila jambo kutafuta sifa = hii ni heading kwenye hako kablog ka ccm, na ndio story yao kubwa, hapo ndio hoja yangu ilipo kwanba nape na wenzake hawawezi kukaa dk mbili bila kutaja chadema, na hio ndio dalili ya kuhaha au kupagawa kwa ccm
 
Back
Top Bottom