Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,715
Taarifa za ndani Viongozi wa Chadema wameeendelea Kumshauri Mwenyekiti wa Chama Chao Tundu Lissu kuhusu kushiriki Uchaguzi kwa njia yeyote kwa maana ni vigumu kuzuia Uchaguzi na watanzania wanaendelea na Shughuli zao kama kawaida.
Taarifa za zaidi zinasema Viongozi wa Dini wamekua wakishawishi kuingia kwenye uchaguzi huu ili hatma ya Chama hicho kisifikie Ukomo.
Baada ya mivutano ya Kuibuka kwa Kikundi cha G55 na kutimukia Chauma viongozi hao wa zamani wamefungua milango kwa wanachadema waliopo tayari kujiunga na Chauma na kuwapa uhakika nafasi za kugombea za Udiwani na Ubunge huku waliokua Team Mbowe wakioneakana kukosa sauti ndani ya Chadema na kuitwa wasaliti .
Mwezi wa 6,7,8 siasa ya Tanzania itashudia mambo makuu mawili.
GM
Taarifa za zaidi zinasema Viongozi wa Dini wamekua wakishawishi kuingia kwenye uchaguzi huu ili hatma ya Chama hicho kisifikie Ukomo.
Baada ya mivutano ya Kuibuka kwa Kikundi cha G55 na kutimukia Chauma viongozi hao wa zamani wamefungua milango kwa wanachadema waliopo tayari kujiunga na Chauma na kuwapa uhakika nafasi za kugombea za Udiwani na Ubunge huku waliokua Team Mbowe wakioneakana kukosa sauti ndani ya Chadema na kuitwa wasaliti .
Mwezi wa 6,7,8 siasa ya Tanzania itashudia mambo makuu mawili.
GM