Uchaguzi 2020 CHADEMA wana uwezo wa kuweka mawakala wa kura vijijini?

Malcom XX

JF-Expert Member
Sep 12, 2020
471
948
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu.

Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe matokeo.

Pili: Watazuiliwa kuingia vyumba vya kuhesabia kura kwa kisingizio kuwa hawana barua za uthibitisho wa vyama.

Tatu: Wapo watakaotekwa
 
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu.

Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe matokeo.

Pili: Watazuiliwa kuingia vyumba vya kuhesabia kura kwa kisingizio kuwa hawana barua za uthibitisho wa vyama.

Tatu: Wapo watakaotekwa
Unajua ndugu Paschal Mayalla, tunajua kwamba CCM itashinda kwakuwa hakuna haki.
Hilo liko wazi kwani hata 2015 hawakushinda bali walitumia mtido huo wakujitangaza washindi regardless matokeo halisi. Sio kwenye ballot box.

Watajitangaza washindi kwani Referree na Commissar wa match ni hao hao Makada watiifu wa CCM. Unategemea mkurugenzi wa Mkoa au Wilaya ambaye ni kada wa ccm amtangaze mpinzani? Unategemea mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni kada wa ccm amtangaze Lissu? Itakuwa ajabu. (Lakini tutaona yote.)

We don't expect anything less than that.

Kama kungekuwa na Uhuru wakuhesabu kura Kama zilivyopigwa na kutangaza matokeo Kama yanavyopatikana kwenye box la kura, CCM hampati hata 25%.
Mkuu nzotangai , karibu, mitaa hii
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
hapa nimezizungumza hoja zako, kura zinapigiwa kituoni, zinahesabiwa kituoni na matokeo, yanabandikwa kituoni, huo wizi wa kura unauzungumzia, unafanyikia wapi?!.
P
 
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu.

Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe matokeo.

Pili: Watazuiliwa kuingia vyumba vya kuhesabia kura kwa kisingizio kuwa hawana barua za uthibitisho wa vyama.

Tatu: Wapo watakaotekwa
This time hawadanganyiki
 
Mkuu nzotangai , karibu, mitaa hii
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
hapa nimezizungumza hoja zako, kura zinapigiwa kituoni, zinahesabiwa kituoni na matokeo, yanabandikwa kituoni, huo wizi wa kura unauzungumzia, unafanyikia wapi?!.
P
We nae umekuwa kama kipofu usiyeona au kutojua kitu na maandiko yako ya kujipumbaza, unataka kusema kwenye chaguzi zetu amna wizi wa kura vituoni ?
 
Kila figisu itafanyika (na imeshaanza kufanyika, mfano kuengua wagombea) ila ninachojua apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua.




JESUS IS LORD!
Una muamini Mungu feki ndio maana anashindwa na ataendelea kushindwa na mwanadam.
 
Hii la mawakala hasa vijijini CDM waliangalie kwa jicho la tatu, hasa KURA za URAIS sehemu ambazo CDM hawana wagombea ama wameenguliwa kwa figisu.
 
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu.

Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe matokeo.

Pili: Watazuiliwa kuingia vyumba vya kuhesabia kura kwa kisingizio kuwa hawana barua za uthibitisho wa vyama.

Tatu: Wapo watakaotekwa

Wapo watu vijijini wana pesa kuliko watu walioko mijini, hivyo kisingizio cha kuhongwa hakitakuwa na mashiko sana. Namba mbili na tatu yawezekana.
 
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu.

Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe matokeo.

Pili: Watazuiliwa kuingia vyumba vya kuhesabia kura kwa kisingizio kuwa hawana barua za uthibitisho wa vyama.

Tatu: Wapo watakaotekwa
HAYAKUHUSU! UNATABIRI YA WENGINE YA KWAKO UMEMALIZA?
 
Mwaka 2010 kuna jamaa nilisoma naye O'level, mwaka huo ndiyo tumemaliza A'level tukisubiri kwenda chuo, Mimi nilipata chansi ya usimamizi msaidizi na jamaa akapata uwakala wa Chadema.

Kituo lilikuwa kijijini ninapotokea, jamaa alikuwa anatoka mjini. Alikuja, na hakulipwa pesa(aliufanya kwa kujitolea). Hata sehemu ya kulala alilala nyumbani kwetu.

Sijui kama kuna vijana wa namna hiyo wafanye hivyo mwaka huu. Wawe tayari kuwa mawakala wa Chadema hata Kama hawatalipwa.

Mimi mwenyewe nafikiria kuwa wakala, maana shughuli zangu siku hiyo, hazitafanyika maana zinategemea uwepo wa shughuli za kiofisi za kila siku. Naona bora siku nzima nikaimalizie kwa kuwa wakala wa kura za Lisu na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom