Kwani wa chama gani wanajificha, na kwanini wajifiche? Kwa dhambi ipi? Hili ni jukwaa la mijadala na kinachoshinda ni hoja na siyo chama!
You have good shot but you should never downplay circumstantial factors.
CHADEMA wakinyamaza kimya waTz wengi wangeendelea kuamini uongo wa CCM. CHADEMA ndio chama cha upinzani wa ukweli na wa afya kwa Tz, na mfumo huo ni mgeni kidgo ktk Tz. Kwahiyo kila neno la CCM lenye kuhitaji kujibiwa lazima lijibiwe.
Lakini sio kujibu tu (na kuspin ikihitajika), lakini lazima CHADEMA waweke mkakati wa makusudi wa kupeleka sera mbadala. Kinachohitajika hapo ni kuwa na fine balance kati ya proactivity na reactivity.....ukijua kuvichezea hivyo viwanja basi mambo yako safi. I hope CHADEMA knows and are capable of more on those tenets.