CHADEMA wanani dissapoint kwa kweli

Asante kwa maoni yako mkuu! You are entitled to it anyway.
 
Kichaa akikupigia kelele ukakaa kimya anakuona ZEZETA hivyo ili wote muwe vichaa lazima na wewe umjibu kwa kelele
 
Kuna wakati kukaa kimya kunasaidia lakni katika siasa kukaa kimya si suluhu bali kujibu hoja kwa hoja...mambo ya kukaa kimya ni huko makanisani
 

Umemaliza mkuu.
Mleta mada hakua na sababu nyingine zaidi ya kupotosha jamvi.
 
Ungekuwa na busara ungejibu kwanini mnataka kuiuza NBC na Airtel ili kupunguza bei ya mafuta,na kama bajeti ni uchwara,unaweza kuonyesha bajeti mbadala ya CDM?
 

Suprisingly the people who were shouting the loudest and condemning Slaa and the concubines are the ones that are now using him to sabotage the war against the three musketeers. Then, Habari Corporation was at the fore front in maligning Slaa's name but it makes us wonder when we see him dining and wining with his accusers. Rostam even went further to pay for a lawyer who instituted proceedings against Slaa for the alleged adulterous acts. An angel sharing a bed with a devil! Unprecedented.
 
Watu wanataka waingei madarakani tu, hamna jipya, toa gamba weka gamba!
 
Hoja yako ina mantiki, na hata hisia zako wengi tunazo. Lakini kumbuka kuwa Tanzania yetu ina watu wenye uelewa tofauti tofauti. Wengine hayo mashutumu ya CCM kwa CDM hawayajali kabisa maana tayari wamekwisha waelewa kuwa hiyo ni tapa tapa ya mfa maji. Lakini kuna wale wasio na uelewa huo, hivyo wanahitaji kuoneshwa uozo wa hawa viongozi wa chama tawala ndipo washawishike kukiamini CDM. Kwa yeyote mwenye dhamiri ya dhati na aliye na uwelewa najua kuwa sera za CDM ziko juu, na umakini wa uongozi wake pia uko juu sana. Hivyo CDM haina budi kuendelea kuwadhibiti CCM kwa kila hila watakayo itumia kurubuni umma. And, at same time wataendelea kuzungumzia maswala muhimu yanayo husu Taifa letu.

GO CHADEMA GO !!!!

 
MI NAONA NI SAHIHI TU KUWASEMA NA KUNA FAIDA KWA CHADEMA MFANO HAPO JUU MKUU@Nickyk82 KAELEZEA..KAMA KUNA MTU ANATAKA KUHAMA CCM NA KUJA CHADEMA MLANGO UPO WAZI.SASA SIO MTU ANAYETOKA CHADEMA ANAENDA CCM HUYO NDIO HATUWEZI MUELEWA.




 
MI NAONA NI SAHIHI TU KUWASEMA NA KUNA FAIDA KWA CHADEMA MFANO HAPO JUU MKUU@Nickyk82 KAELEZEA..KAMA KUNA MTU ANATAKA KUHAMA CCM NA KUJA CHADEMA MLANGO UPO WAZI.SASA SIO MTU ANAYETOKA CHADEMA ANAENDA CCM HUYO NDIO HATUWEZI MUELEWA.

Kila mtu ana uhuru wa kujiunga na chama chochote na wakati wowote; mfano SITASHANGAA DR. W. SLAA AKIPIGA U-TURN KURUDI CCM, NI HAKI YAKE KIDEMOKRASIA. HAPA JF KUNA WATU WANA FIKRA FINYU KUWA MTU BORA NI YULE ANAYESHABIKIA CDM TU. MSIPOTEZWE NA VIONGOZI WENU KUWA CDM ITAKUWA KAMA ILIVYO DAIMA, KUMBUKENI MWAKA 1995 KULIKUWEPO DR. A.MREMA NA NCDCR MAGEUZI YUKO WAPI SIKU HIZI??? HATA MIMI NABOREKA NA MBINU ZINAZOTUMIWA NA CDM AMBAZO SIKU HADI SIKU WATZ ZINAWACHOSHA. TAFADHALI DR. SLAA UKIWA NI THINK TANK YA CHAMA BADILISHA MBINU ZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WANANCHI, MAANDAMANO TUMECHOKA, TULETEENI KIPYA KATIKA SIASA ZA TANZANIA.
 
we inabidi urudi darasani ukasome ili uelewe vizuri si unakurupuka tu kuandika pumba hizi.
 
Kinachokera zaidi kuhusu CDM NI hii ndoa haramu waliofunga na watuhumiwa wakuu wa ufisadi sio siri iko siku umma utawahukumu hawa CDM
 

Mkuu kwani kabla hujatoa hisia zako umejaribu kukonsida jinsi uwanja wa habari ulivyothibitiwa na utawala wa CCM hasa dhidi ya CHADEMA? Umejaribu kufuatilia vyombo vya habari kama TBC katika kutoa habari kama wanatoa nafasi sawa kwa wote? Nimependa niulize hivi maana hoja yako nimeiona kama kuamini sana kwenye vyomba vya habari zetu.....! Hata hivyo nakuomba ujaribu kufuatilia tena... Naamini you will come back and say something indeed...!
 
BOSS,

They usually says,''THE BOSS IS ALWAYS RIGHT''.
Kwa hili BOSS you're NOT RIGHT! Sioni nini kinachokufanya uwe dissapointed na CHADEMA. Hivi unafikiri viongozi waandamizi wa CHADEMA wanaweza kuzunguka kwenye maeneo mbalimbali ya nchi hii kueneza 'umbeya' kama unavyotaka kutushawishi?Big NO!

Nashangaa sana hata kwa wale wanaokuunga mkono katika hili. Na I can predict that you're one of those CCM henchmen.
Mimi kwa kweli sielewi mnataka CHADEMA ifanye nini na iache nini! Watu lazima mjue kuwa KAZI YA CHAMA CHA UPINZANI CHOCHOTE NA MAHALI POPOTE DUNIANI NI KUKOSOA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI. They do the same in USA,UK,FRANCE,RUSSIA,CANADA etc.
Kule USA juzi wapinzani wa OBAMA wameibua hoja kuwa OBAMA hakuzaliwa Marekani na ikabidi aweke cheti chake cha kuzaliwa hadharani! Hizo ndiyo siasa! Hata leo hii CCM wakishindwa na kukaa pembeni wataanza mashambulizi yaleyale kama ya CDM!

Kwa hiyo wanachofanya CDM kuanika UFISADI wa CHAMA CHA MAGAMBA-CCM ni sawa kabisaaa! Sikuelewi unaposema CDM iache kuzungumzia UFISADI wa CCM ambao umetokana na sera na mfumo mbovu wa CCM yenyewe. Kila Mtz anajua kwa sasa HALI YA MAISHA NI NGUMU,INFLATION IS GOING UP DAILY,CHAKULA BEI JUU,PETROL/DIESEL BEI JUU,UMEME NI WA MGAWO NA BEI JUU!! Hali zote hizi zimesababishwa na CCM!!!

CDM wanazunguka nchi nzima kuwaeleza wananchi kuwa MBAYA WAO NI CCM HAKUNA HAJA YA KUTAFUTA MCHAWI.
Kwa hiyo mimi na-support CDM waendeleee na system hii ya kuikosoa CCM kwa utendaji wake mbovu mpaka kieleweke. Kwa hiyo tusidanganyane waheshimiwa!!
 

Big up mkubwa. Ume-hit bull mzee!
 
Kinachokera zaidi kuhusu CDM NI hii ndoa haramu waliofunga na watuhumiwa wakuu wa ufisadi sio siri iko siku umma utawahukumu hawa CDM

Hakika mimi nilikuwa na matumaini makubwa na CDM na hata katika uchaguzi uliopita nilifurahi kuona kwamba wameongeza pesence yao bungeni ili serikali ipate changamoto na hata jimboni kwetu Mdee tulimpigania sana na bahati nzuri akapata ushindi wa kimbunga. Lakini hiki kitendo chao cha kumezwa na mafisadi kinanifanya nisiwasamehe hata kidogo. nakifananisha na espionage!
 
Mkuu ni lazima itafutwe namna ya kuwezesha umma uelewe hii ndoa haramu ili waweza kuwasulubu si kwenye sanduku la kura tu hata kabala ya hapo .Kwa kufupi wanachokifanya hawa CDM ni usaliti wa hali ya juu kwa wanachi wa maskini wa Tanzania
 
Hahaha usinichekeshe labda sio dr.slaa wa ukweli, sasa ulitaka tushabikie ufisadi wa ccm? Ccm ndio ishakufa hiyoo.
Kuangalia picha napo huwezi aaaarg?



 
Mtu unaweza kuwa ccm na ukaipigia kura chadema

mtu anaweza kuwa hana chama na akaipigia kura chadema.....

Sio kila anaeipinga chadema ni ccm au ni fisadi

chadema ni lazima wajue kuna idadi kubwa ya watu hawana vyama na hwataki
kuwa na vyama lakini wanaweza kuipigia kura chadema iwapo watashawishika....

But kwa mwendo huu.....
Sidhani.....
 


well written....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…