Nikweli chadema inaleta fujo imetufanya wanaccm tuchanganyikiwe!
jamani, kila siku lawama zote ni kwa chadema. vita na fujo si sera ya chadema ila UHURU na MAENDELEO YA WATU- chadema dream!!lakini waliozusha hilo jambo ,ccm ndo watu wachochezi na ndio wanaotaka fujo na vita, ili kuwaweka misalabani viongozi wa chadema ukifananisha na WAISRAEL (CCM) walivyo msulubu yesu kwa uwongo Waliolazimisha wao!kama chadema ni chama cha watu , kamwe watu hawawezi kupigana wenyewe kama ilivyo kuwa RWANDA! wanaotaka vita ya KUWANYIMA WATU HAKI ZAO ni POLISI na chadema hawana haja ya KUPIGANA ,hatuhitaji bunduki na mapanga lakini MOVEMENT FOR CHANGE ni silaha tosha!!!
unataka kuunganisha mawazo yako na JK aliposema kuwa "wapinzani ndio wanachochea propaganda kati ya Malawi na TZ"????
kwa wale ambao wanaendelea kuamini propaganda za wanasiasa kuwa cdm wanaleta vita na kuhamasisha vurugu yapasa wajiulize mara mbili.View attachment 63421
Angalieni hapa msije sema hatukuambiwa!View attachment 63416View attachment 63417
Hivi suala la ile bunduki liliishia wapi?kimya kinadhihirisha kuwa aliyosema Slaa kuwa watu waCCM wanamiliki silaha za kivita ni kweli maana huyo ni kiongozi ndani ya CCM na ana silaha ya kivita na hahojiwi.Umemsahau yule aliyeibiwa Morogoro na kukutwa na mabunduki kibao.
Hawa wasomali wawili wachunguzwe hawana mahusiano na Al shabaab?kwa wale ambao wanaendelea kuamini propaganda za wanasiasa kuwa cdm wanaleta vita na kuhamasisha vurugu yapasa wajiulize mara mbili.View attachment 63421
Angalieni hapa msije sema hatukuambiwa!View attachment 63416View attachment 63417
Hivi suala la ile bunduki liliishia wapi?kimya kinadhihirisha kuwa aliyosema Slaa kuwa watu waCCM wanamiliki silaha za kivita ni kweli maana huyo ni kiongozi ndani ya CCM na ana silaha ya kivita na hahojiwi.
sasa kama naibu waziri anapewa SMG jee PM atakuwa na nini? nadhani yeye ana RPG kabisa.
Kweli mmechanganyikiwa.Nikweli chadema inaleta fujo imetufanya wanaccm tuchanganyikiwe!
Nikweli chadema inaleta fujo imetufanya wanaccm tuchanganyikiwe!