CHADEMA wanaiga style ya CUF ya miaka ya tisini!

CHADEMA wanaiga style ya CUF ya miaka ya tisini!

Ibara zote izo zimetamka kwa mujibu wa sheria, mikutano imezingatia sheria ya vyama vya siasa? Sheria ya usalama wa taifa? Na sheria ya jeshi la polisi?
Sheria inajulikana,inatakiwa masaa 48 kabla ya mkutano muhusika kutoa taarifa kwa jeshi la polisi juu ya mkutano wake,madhumuni na eneo atakalofanyia mkutano!Polisi hatakiwi kukataa katakata,badala yake anaweza kushaurina na muombaji kupanga wakati mwingine kama siku iliyoombwa kwa sababu za kiusalama haitofaa!
 
Ibara zote izo zimetamka kwa mujibu wa sheria, mikutano imezingatia sheria ya vyama vya siasa? Sheria ya usalama wa taifa? Na sheria ya jeshi la polisi?
Katika sheria zote,hakuna sehemu inayosema mtu wa kigoma marufuku kufanya mkutano Mwanza!
 
Mbona unachanganya mada na ktk katiba kuna ibara inayosema mtu wa kigoma akafanye mkutano mwanza?
 
style hii zunguka dunia nzima kama utakuta style hii iliweza kuzaa matunda zaidi ya kuzalisha walemavu na wakimbizi duniani wahasisi wa style hii hata wao wameicha ndo maana utakuta nw wanatafuta haki kwa style ya tofauti kabisa na naishangaa cku hzi chadema chama kilichoamika kuwa na hazina kubwa ya wasomi na maprof kuliko chama kingine chochote Tanzania wameshindwa kujua kuwa siasa za kiharakati cku hz hazina nafasi katika dunia ya kistarabu nataka kuwakumbusha kuwa kuna mihimili 3 kama wamekufunga mdomo bungeni na ikulu sehemu pekee inayoweza kukufungua ni mahakamani ni sehemu pekee ambapo serikari huwa inakubali kushindwa si bungeni au sehemu nyingine yeyote mahakamani ndio tafasili ya kile kinachotungwa bungeni hutafasiliwa mahakamani kama chama kinajinasibu kuwa na mwanasheria wazuri why kikafanye fujo na maandamano yasiyo ni manufaa au faida kwa jamii


kama wanakumbuka wakati kada wao geita kafariki serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike lakini walipotumia mahakama mbona hao waliokataa wasimzike ndio walikuwa walinzi wao wakati wanamzika?????? je wangetumia nguvu au maandamano kupinga si wangewasababishia ulemavu watu huwezi hata cku moja kupambana na mtu mwenye police,jeshi,usalama,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinavyo onekana na visivyo onekana vina report kwake na viko tayali kutekeleza order yake mda wowote ukashinda kwa njia ya violence ndo maana nawambia chadema waache siasa za harakati na kutaka sifa wafanye siasa za kisomi na siasa za ufahamu ndo maana siku hizi kuna siasa ya kisanyansi lakini enzi za siasa za kaharakati miaka 1960-1990 zimepitwa na wakati

wew sijui wa wapi mbona 2010 watu waliandamana hapo arusha, iringa hadi mwangosi akafariki wew labda ni mgeni hapa jf
 
style hii zunguka dunia nzima kama utakuta style hii iliweza kuzaa matunda zaidi ya kuzalisha walemavu na wakimbizi duniani wahasisi wa style hii hata wao wameicha ndo maana utakuta nw wanatafuta haki kwa style ya tofauti kabisa na naishangaa cku hzi chadema chama kilichoamika kuwa na hazina kubwa ya wasomi na maprof kuliko chama kingine chochote Tanzania wameshindwa kujua kuwa siasa za kiharakati cku hz hazina nafasi katika dunia ya kistarabu nataka kuwakumbusha kuwa kuna mihimili 3 kama wamekufunga mdomo bungeni na ikulu sehemu pekee inayoweza kukufungua ni mahakamani ni sehemu pekee ambapo serikari huwa inakubali kushindwa si bungeni au sehemu nyingine yeyote mahakamani ndio tafasili ya kile kinachotungwa bungeni hutafasiliwa mahakamani kama chama kinajinasibu kuwa na mwanasheria wazuri why kikafanye fujo na maandamano yasiyo ni manufaa au faida kwa jamii


kama wanakumbuka wakati kada wao geita kafariki serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike lakini walipotumia mahakama mbona hao waliokataa wasimzike ndio walikuwa walinzi wao wakati wanamzika?????? je wangetumia nguvu au maandamano kupinga si wangewasababishia ulemavu watu huwezi hata cku moja kupambana na mtu mwenye police,jeshi,usalama,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinavyo onekana na visivyo onekana vina report kwake na viko tayali kutekeleza order yake mda wowote ukashinda kwa njia ya violence ndo maana nawambia chadema waache siasa za harakati na kutaka sifa wafanye siasa za kisomi na siasa za ufahamu ndo maana siku hizi kuna siasa ya kisanyansi lakini enzi za siasa za kaharakati miaka 1960-1990 zimepitwa na wakati
Sijuwi kama ni mfuasi wa chama fulani...
Ila kwangu mimi naona umeandika pasipo kuegemea katika chama chochote..
Yaani kwangu mimi wewe ni Free minded...
Kwa ushauri huu, kwa yeyote asiyefungamana na chama chochote ila mwenye mapenzi mema na nchi yake atakukubali na pia kama vip nashauri wale wakubwa wa chama cha democrasia na maendeleo basi wangeshauriwa hivi na ikiwezekana basi wafuate ushauri huu..
Gooood writing...
Wataokubeza ni wale waliokwisha kunywa maji ya bendera za vyama vyao. Na wako hapo kwa ajili ya kutekeleza kile wakuu wao wa vyama vyao watakachokisema....
Jamani vijana, kama kweli sisi tuko kwa ajili ya nchi yetu (kama tunavyopenda kuwaaminisha watu), basi hii ndio namna nzuri kabisa ya kudai haki....
Mahakamani ndiko haki hutolewa na serikali pamoja na polisi wako tayari kufuata kile mahakama itakachokisema.
Kushindana na dola ni kazi sana......
Mleta uzi nakupongeza kwa mawazo mazuri kwa ajili ya nchi yetu kwa kweli......
 
Mtoa mada, kweli ni Jingalao. Eti CUF walichezea virungu kisawasawa na hadi leo hii wameufyata. Jiulize kuwa sokomoko na varangati likianza mtaani, huku risasi zikitupwa hovyohovyo zitakuwa zinatua kwa wanachama wa UKAWA tu? huenda ndiyo ukashangaa unatumbuliwa wewe badala ya hao unaowatukana. MUNGU ananguvu zake, ogopa kabisa nguvu za Mungu na matakwa yake akiamua la kuwa linakuwa!
 
Tatizo la chadema ni lipi kwani wao Kama chama cha siasa kutetea uhuru wao wa kufanya kazi Yao ya siasa ni kosa? Na hata huo mfano wako wa cuf na mahita je Nani alishinda? Mahita kastaafu lakini siasa inazidi kukua walitumia propaganda ya udini na vurugu lakini cuf ikazidi kukua na sasa ccm imepoteza mwelekeo wakati upinzan unazidi kuimarika huwezi kuzuia siasa kwani hapo ndipo watu hutoa Yao ya moyoni kuhusu serikali Yao na fahamu unapomzuia mtu kusema yaliyopo moyoni unatengeneza bomu kubwa ambapo baadae utajutia mfano mdogo ni Libya gadafi aliwanyima watu fursa ya kutoa ya moyoni nadhani uliona yaliyotokea ingawaje sasa wananchi wenyewe wanateseka
Mfano wa siasa za libya na tz tofauti na tafuta chanzo cha kupinduliwa kadafi , nchi za magharibi walikuwa wanaiangalia vipi Libya halafu fananisha na Tanzania.
 
wew sijui wa wapi mbona 2010 watu waliandamana hapo arusha, iringa hadi mwangosi akafariki wew labda ni mgeni hapa jf
ya mwangosi hayakuwa maandamano ilikuwa ni mkutano wa ndani wa chama tofautisha maandamano na mkutano wa ndani wa chama
 
Sheria inajulikana,inatakiwa masaa 48 kabla ya mkutano muhusika kutoa taarifa kwa jeshi la polisi juu ya mkutano wake,madhumuni na eneo atakalofanyia mkutano!Polisi hatakiwi kukataa katakata,badala yake anaweza kushaurina na muombaji kupanga wakati mwingine kama siku iliyoombwa kwa sababu za kiusalama haitofaa!
Hiyo ni sheria IPI? Ya jeshi la polisi au ya vyama vya siasa?
 
style hii zunguka dunia nzima kama utakuta style hii iliweza kuzaa matunda zaidi ya kuzalisha walemavu na wakimbizi duniani wahasisi wa style hii hata wao wameicha ndo maana utakuta nw wanatafuta haki kwa style ya tofauti kabisa na naishangaa cku hzi chadema chama kilichoamika kuwa na hazina kubwa ya wasomi na maprof kuliko chama kingine chochote Tanzania wameshindwa kujua kuwa siasa za kiharakati cku hz hazina nafasi katika dunia ya kistarabu nataka kuwakumbusha kuwa kuna mihimili 3 kama wamekufunga mdomo bungeni na ikulu sehemu pekee inayoweza kukufungua ni mahakamani ni sehemu pekee ambapo serikari huwa inakubali kushindwa si bungeni au sehemu nyingine yeyote mahakamani ndio tafasili ya kile kinachotungwa bungeni hutafasiliwa mahakamani kama chama kinajinasibu kuwa na mwanasheria wazuri why kikafanye fujo na maandamano yasiyo ni manufaa au faida kwa jamii


kama wanakumbuka wakati kada wao geita kafariki serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike lakini walipotumia mahakama mbona hao waliokataa wasimzike ndio walikuwa walinzi wao wakati wanamzika?????? je wangetumia nguvu au maandamano kupinga si wangewasababishia ulemavu watu huwezi hata cku moja kupambana na mtu mwenye police,jeshi,usalama,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinavyo onekana na visivyo onekana vina report kwake na viko tayali kutekeleza order yake mda wowote ukashinda kwa njia ya violence ndo maana nawambia chadema waache siasa za harakati na kutaka sifa wafanye siasa za kisomi na siasa za ufahamu ndo maana siku hizi kuna siasa ya kisanyansi lakini enzi za siasa za kaharakati miaka 1960-1990 zimepitwa na wakati

Nchi ambazo "mtu" humiliki polisi, jeshi, usalama na vyombo vyote vya dola ni zile zinazojulikana kama "failed states" au kwa jina la utani: "banana republics". Sasa kama ndivyo unavyoielezea serikali ya Magufuli/CCM basi ina maana tumeshakuwa nchi ya ovyo sana.
 
Mimi nadhani mkuu akisema hakuna siasa basi iwe kwa vyama vyote pamoja na chake
 
Mbona unachanganya mada na ktk katiba kuna ibara inayosema mtu wa kigoma akafanye mkutano mwanza?
Jisomee mwenyewe
Screenshot_2016-07-30-17-53-50.png
Katiba imetoa Uhuru wa kutoa maoni bila kujali mipaka ya nchi!
 
Nchi ambazo "mtu" humiliki polisi, jeshi, usalama na vyombo vyote vya dola ni zile zinazojulikana kama "failed states" au kwa jina la utani: "banana republics". Sasa kama ndivyo unavyoielezea serikali ya Magufuli/CCM basi ina maana tumeshakuwa nchi ya ovyo sana.
dunia nzima vyombo vyote vya usalama vimekula kiapo cha kutii amri hii ndo fundamental ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama duniani na mtu wa mwisho kutoa amri hiyo ujulikana kama amiri jeshi mkuu ambae anaweza kuwa mfalme , rais au kiongozi mkuu wa nchi na nataka kuwambia nyny mnaojiita wana mapambano kuwa siasa hzo mliozichagua hazijaweza kuleta matunda popote duniani zaid ya kuzalisha wakimbizi na walemavu na misiba
 
Kwa wenye kumbukumbu mtakuwa mnalikumbuka sakata la IGP OMAR MAHITA(NGUNGURI) dhidi ya Chama Cha CUF(NGANGARI)

Hapa palitokea mikwara na ubishani kuhusu maandamano na mikutano ya hadhara na hatimaye CUF walichesea virungu kisawasawa na hadi leo hii wameufyata.

Sasa ninawashangaa washika UKuta wakitumia mbinu zile zile zilizoshindwa kwa kutarajia kupeleka kilio ICC.

Kupinga Utawala halali uliochaguliwa na raia wema ni uhaini uchwara na adhabu yake inajulikana.
Back to school Stomach Thinker & Seeker a.k.a v1laza wa swisswism maana umeandika utumbo kama siyo uharo.
 
Mbona unachanganya mada na ktk katiba kuna ibara inayosema mtu wa kigoma akafanye mkutano mwanza?
Ndio mlichobakiza, kujitoa fahamu. Mkulu nae kurekebisha amri alizotoa. Mwanzoni alizuia mikutano yote ya upinzani. Sasa ifanyike kila mmoja kwao. Sijui kwa katiba gani. Poleni sana.
 
Ndio mlichobakiza, kujitoa fahamu. Mkulu nae kurekebisha amri alizotoa. Mwanzoni alizuia mikutano yote ya upinzani. Sasa ifanyike kila mmoja kwao. Sijui kwa katiba gani. Poleni sana.
Nilikuuliza kifungu cha katiba iliyovunjwa
 
style hii zunguka dunia nzima kama utakuta style hii iliweza kuzaa matunda zaidi ya kuzalisha walemavu na wakimbizi duniani wahasisi wa style hii hata wao wameicha ndo maana utakuta nw wanatafuta haki kwa style ya tofauti kabisa na naishangaa cku hzi chadema chama kilichoamika kuwa na hazina kubwa ya wasomi na maprof kuliko chama kingine chochote Tanzania wameshindwa kujua kuwa siasa za kiharakati cku hz hazina nafasi katika dunia ya kistarabu nataka kuwakumbusha kuwa kuna mihimili 3 kama wamekufunga mdomo bungeni na ikulu sehemu pekee inayoweza kukufungua ni mahakamani ni sehemu pekee ambapo serikari huwa inakubali kushindwa si bungeni au sehemu nyingine yeyote mahakamani ndio tafasili ya kile kinachotungwa bungeni hutafasiliwa mahakamani kama chama kinajinasibu kuwa na mwanasheria wazuri why kikafanye fujo na maandamano yasiyo ni manufaa au faida kwa jamii


kama wanakumbuka wakati kada wao geita kafariki serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike lakini walipotumia mahakama mbona hao waliokataa wasimzike ndio walikuwa walinzi wao wakati wanamzika?????? je wangetumia nguvu au maandamano kupinga si wangewasababishia ulemavu watu huwezi hata cku moja kupambana na mtu mwenye police,jeshi,usalama,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinavyo onekana na visivyo onekana vina report kwake na viko tayali kutekeleza order yake mda wowote ukashinda kwa njia ya violence ndo maana nawambia chadema waache siasa za harakati na kutaka sifa wafanye siasa za kisomi na siasa za ufahamu ndo maana siku hizi kuna siasa ya kisanyansi lakini enzi za siasa za kaharakati miaka 1960-1990 zimepitwa na wakati



maelezo mazuri sana ni wazi kwamba hata nyie mshagundua utawala wa magufuli na ccm ni wa kimabavu.
 
Back
Top Bottom