style hii zunguka dunia nzima kama utakuta style hii iliweza kuzaa matunda zaidi ya kuzalisha walemavu na wakimbizi duniani wahasisi wa style hii hata wao wameicha ndo maana utakuta nw wanatafuta haki kwa style ya tofauti kabisa na naishangaa cku hzi chadema chama kilichoamika kuwa na hazina kubwa ya wasomi na maprof kuliko chama kingine chochote Tanzania wameshindwa kujua kuwa siasa za kiharakati cku hz hazina nafasi katika dunia ya kistarabu nataka kuwakumbusha kuwa kuna mihimili 3 kama wamekufunga mdomo bungeni na ikulu sehemu pekee inayoweza kukufungua ni mahakamani ni sehemu pekee ambapo serikari huwa inakubali kushindwa si bungeni au sehemu nyingine yeyote mahakamani ndio tafasili ya kile kinachotungwa bungeni hutafasiliwa mahakamani kama chama kinajinasibu kuwa na mwanasheria wazuri why kikafanye fujo na maandamano yasiyo ni manufaa au faida kwa jamii
kama wanakumbuka wakati kada wao geita kafariki serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike lakini walipotumia mahakama mbona hao waliokataa wasimzike ndio walikuwa walinzi wao wakati wanamzika?????? je wangetumia nguvu au maandamano kupinga si wangewasababishia ulemavu watu huwezi hata cku moja kupambana na mtu mwenye police,jeshi,usalama,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinavyo onekana na visivyo onekana vina report kwake na viko tayali kutekeleza order yake mda wowote ukashinda kwa njia ya violence ndo maana nawambia chadema waache siasa za harakati na kutaka sifa wafanye siasa za kisomi na siasa za ufahamu ndo maana siku hizi kuna siasa ya kisanyansi lakini enzi za siasa za kaharakati miaka 1960-1990 zimepitwa na wakati