CHADEMA wamfungulia kesi Nape

Napenda sana haya mambo kwasababu yanafanya maisha yawe mapya kila siku. Kwenye nchi yenye matatizo kama hii, ni sinema za namna hii tu zinazoweza angalau kupunguza machungu ya maisha.

'watu wengine bwana'

Nimekuongezea hiyo nadhani ulikuwa umeisahau kuiandika
 
Kwahiyo unataka kutuambia kuna Nchi inakiboost CDM financialy?

That is what Nape anatakiwa athibitishe, na sio hilo tu, anatakiwa pia athibitishe kuwa hizo nchi zilitoa fedha kwa CHADEMA kwa makubaliano ya kupata rasilimali za Tanzania. Itakuwaje kama hizo nchi anazoongelea Nape wakakana? Huu mgogoro unaweza kuwa kidiplomasia - way beyond ipad ya Nape!
 
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.

Nepi Nnauye kwanza ni mbumbumbu wa sheria na hapo alipo hana ushahidi wowote!

Sana sana ataleta ushahidi wa kupika au kutengeneza kutoka kwenye mitambo ya CCM ya kuchakachua SMS/simu za uongo akisaidiwa na kichaa wake Mwigulu Nchemba. Nepi anafikiri anaweza kuropoka mpaka Mahakamani?Thubutu yake! Basi ajaribu aone moto wake. Hana akili ya kutafuta wala kupata ushahidi wa kweli na ndiyo maana kashindwa kupeleka ushahidi wa kumwokoa Mbunge wake wa Igunga Dr.Kafumu aliyeshinda kwa kubebwa na NEC na Serikali ya CCM!

Wewe subiri tu kama CCM hawaja mkimbia Nepi wao kama walivyomkimbia Dr.Kafumu Igunga baada ya kubwagwa Mahakamani na Wataalamu wa sheria wa CDM. Hivi unafikiri Nepi anaweza kukabiliana na maswali ya kisheria kutoka kwa Prof.Safari,Tundu Lissu au Mabere Marando?? Time gonna tell!

Nepi ni Kihiyo tu kama vihiyo wengine wa CCM.
 
Safi sana Big up CHADEMA hii ndio dawa ya watu wanaoropoka ovyo.
 
Mahakama ni yao, na hivi tena majaji wapya walioteuliwa na mwenyekiti wa ccm taifa na alishawapa maelekezo mpya ya maslahi ya ccm mbele! Uh!
Kweli mahakama ni yao ila watuthibitishie sababu hata benki kuu pia ipo chini yao, sasa rahisi kwao kusema hayo mabilioni yako akaunti ipi? kesi imefunguliwa na baraza la wadhamini ambao wanajua kiingiacho na kitokacho
 

Nchi zenyewe ziwe Marekani, Japan, Uingereza au Scandnavian, ukiwasema tu bila ushahidi wa kutosha wanakatisha misaada. Hapo ndo kilio na kusaga memo kwa nchi nzima.
 

Hapo ndipo ninapopasubili. Na tujue alikua anaropoka tu kila CDM wakifanya jambo au alikua anamaanisha.
 

Tupe CV ya Nape Nauye.

Huyu Vuvuzela wa wa CCM ana elimu gani zaidi ya kuhuzulia Kivukoni College na mikutano ya UVCCm? Hivi unaweza kumlinganisha na kina Dr.Slaa, Prof.Safari, Prof.Baregu, Tundu Lissu,John Mnyika,Zitto Kabwe, Mabere Marando na wengineo wengi? You must be really joking my friend!
 
wakimaliza hapo wanamfungua nyingine ya msajili wa vyama siasa
 

Ni chama thabiti kilichojipambanua wazi na kilichojijenga kuwaongoza watanzania miaka ijayo Mungu akipenda kuanzia 2015.
 
Akisimama Marando, Lissu na Safari atapita mtu kweli? Kazi anayo Nnawiye!
 
Kumbe wana Imani na mahakama hizi,siasa kweli noma,haki unaposhinda,ukishindwa hakuna
 
Wakati wa uzinduzi wa kampeni ya M4C dar es Salaam kupitia Star TV,CDM kupitia Mbowe waliahidi huu ni wakati wa Actions na siyo blah blah. Go on makamanda,
 

Wadau JF....Tujukumbushe:
IGP Mwema 'yawezekana anayo akili na mtaalam mzuri', kama taarifa zinavyoonyesha, na amesifiwa sana ukanda wote wa Afrika Mash na Kati tangu akiwa Interpol, ....ILA TU AKILI NA UTAALAM WA MTU YEYOTE YULE, HATA KAMA NI MZUNGU AU EXPERT IKISHAINGILIWA NA 'MENDE WA KIJANI' wanaojilamba kwa ufisadi hapa Tanzania, pamoja na UBONGO wao ULIOROJEKA KIUONGOZI KAMA AKINA 'VUVUZELA' na ukijijua 'Expert ' na elimu yako ukapotea njia kuwafuata, hakuna rangi ambayo hutaiona!

Na huyu IGP Mwema alishakubali, ameshaingizwa choo cha kike na sasa ni mmoja wao, analala nao, anakesha nao anapanga nao mipango...na anapewa kazi ya kuitekeleza yeye pamoja na vijana wake ambao wengi ni waliosoma hadi daraja 0, na sasa IGP anaonekana wazi kuwa ni kati ya muflis kiuongozi, hali inayofuta 'automatically' manufaa na sifa yoyote ya zamani...

Ningekuwa yeye ningeshajiuzulu ili Watanzania wasiendelee kunitoa maanani na kunipuuza kama inavyoendelea sasa...sio mzaha watanzania wasio na kosa kuuwawa kwa faida ya 'mende wa kijani' ambao leo au kesho hawako madarakani..Mwema utaenda wapi?? Vuvuzela -NAPE atakusaidiaje, na kwa lipi kama wewe ni MSOMI wa Interpol kweli?? Useless!

KWA HILI LA KUISINGIZIA CHADEMA, NAPE LAZIMA ALALE RUMANDE AU APELEKWE GEREZA LA KILOMBERO ili wana-Moro au wana-Iringa wafarijike kwa damu iliyomwagika hivi karibuni katika kuitafuta haki! Hakuna muda wa kuvumilia mende kuitishia kabati!

CDM ni ya Watanzania wote na si CCM ya wahuni wasiofikia hata mil 5. Watanzania Mil 45 ukitoa hao CCM Mil 5, je Milioni 40 wote wanaangamizwa haki zao na Polisi na akina VUVUZELA?? NO WAY!! no more!!
 
Hapo ni pazuri sana, Nape anakwenda kuwaaibisha vibaya sana. Mtanambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…