CHADEMA wamfungulia kesi Nape

Mkuu ondoa wasiwasi, haijalishi kama jaji atambeba ama la, kwa kuwa kesi zinaendeshwa hadharani na watanzania siku hizi tunaakili ya kupima ukweli, tutapima ushahidi na kutoa hukumu yetu ya kijamii hapa JF.


na isitoshe akishataja hayo mataifa lazima yasibitishe na asipoangalia hayo mataifa yanaweza kuja juu kwa kuchafuliwa kwa kutaka kuja kuunyoya uchumi wa tanzani km alivyosema nape kuwa hizo nchi zinafanya hivyo kwa sababu tanzania imegundua gesi na madini mengine
 
hapo naona aliyewashauri cdm kwenda mahakamani kawauza. ccm kwa kugushi achana nao, mbona hizo data watakuja nazo.

Umeshasema kugushi. Wataitwa hao waliogushiwa wakanushe ndipo wataumbuka.
 
Hizo bilion 3 akazilia ziingie kwenye M4C mara moja....
 
Napenda sana haya mambo kwasababu yanafanya maisha yawe mapya kila siku. Kwenye nchi yenye matatizo kama hii, ni sinema za namna hii tu zinazoweza angalau kupunguza machungu ya maisha.

Tunahitaji sinema hizi?..Upya wa maisha??? nadhani zinaongeza machungu maana zinakwangua rasilimali zetu zaidi.
Kesi na mazagazaga si sinema..ina malipo yake ndugu yangu.
 
CDM wamempeleka dogo Nape mahakamani wkt CDM hawana imani na mahakama sasa sijui itakuaje.

Mahakimu wazuri ni wananchi, tutapima hukumu kwa vifungu vyake na kuipa heshima yake ama kuidharau na kutoiamini. Kunabaadhi ya hukumu tumeona mahakama ilitumika kwa matakwa fulani, na kuna hukumu nyingine tumeona mahakama ikitenda haki.
 

Mkuu wengine watakuwa wamejifunza kutokuropoka hovyo. hivyo hao watu wa Ngadinda na Ndapata watapata taarifa sahihi kuliko ilivyo sasa.
 
ukisha ona unashindwa lazima utafute maneno mengi, CCM Hata siku moja haikurupuki, unawaona walioko CCM Lakini? CDM kuna nani? labda ZITTO TU ALIYEWAAMBIA CDM WENZAKE HAKUNA MSOMI KAMA YEYE, AND ITS TRUE, Ztto akitoka cdm kwisha,, Mwambie lema alienda UINGEREZA KUKAGUA MAHELKOPTA ALIKUWA ANAKUJUA, AU NDIO ANAJINADI AJIJENGE YEYE PAMOJA NA MBOWE NA FAMILIA ZAO? HUU NI MOTO WA KIFUU, WATANZANIA WANA AKILI SANA ,,,ENDELEENI KUANDAMANA WAKATI WENGINE WAKO KWENYE UTENDAJI!
 

Nadhani siyo tu Pesa Mheshimiwa, alisema PESA CHAFU !
 

wametimiza wajibu tu ao, hawana lolote, kwani uongo.
 
huyu nape anapenda sana umaarufu, ila njia anazotumia zinamgarim.
 
Napenda sana haya mambo kwasababu yanafanya maisha yawe mapya kila siku. Kwenye nchi yenye matatizo kama hii, ni sinema za namna hii tu zinazoweza angalau kupunguza machungu ya maisha.

Hahahaaaa...
Watu wengine Bwana!
 
Duh, mkuu unauhakika au ushabiki?

mkuu si ushabiki bali kijana huyu (Nape) alisema anao ushahidi wa kuiacha uchi chadema mahakamani. Nimenukuu maneno ya huyu kijana sina ushabiki wa CCM na wala sintakuwa nao.
 

sijakuelewa vizuri, unasema ccm kuna wanasheria mahiri? unawa-refer kina nani! chenge? werema? mkono?
nakushauri ushirikiane na akili yako, usitumie mwili pekee kuongea.

Wangekuwa mahiri tusingeingia mikataba mibovu kila kona ya nchi!

Wangekuwa mahiri wasingeshindwa kesi ya drown one's.

Ukome kutuaminisha uzandiki.
 
Hiyo list akiisikia lazima agome kwenda mahakamani
 
mbona hawakumtetea Dr kafumu na huo umahiri wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…