Hv unafikiri media kama radio na magazeti vingekuwa makini kufikirisha wananchi leo tungekuwa na wajinga kama wewe, toka kiwete awe rais ameishawah onesha mara ngapi watanzania umuhmu wa kujisomea km alivyofanya Mwl. Nyerere kwa yeyd mwenyewe kuwa mfano kuandika vitabu na kuwasilisha kile anachoamini?zaid ya mkewe kufungua kijilibrary cha watoto na kujifanya anahimiza kusoma watoto? Thnk tank ya magamba ni January Makamba, nepi na wajinga wengine kama wewe, ulidhani rais hawezi kuwa kama Mzee Yusuph kwa ujinga wake. Rais mjinga, washauri wajinga, wanachama wajinga ni ujinga mtupu na wewe ni mjinga na mvivu wa kufikiri endelea kusoma vijarida vya udaku na ukaona hzo kauli mbiu za mwenyekiti wako kama umaarufu wkt zina aply ktk tamthiliya za ngono na upumbavu unaoendekezwa na wajinga kama wewe kufanya w2 wasifikiri ila sisi huku Mara tuko macho ukituletea shobo tunakudocha na katiba mpya ujinga wote shurti ubanwe hata kwa damu, tunawaona mnavyopiga makofi kwa nch wafadhili ktk bajeti na facial expression za wafadhili hao, mmetudhalilisha sana kwa namna mlivyo wajinga. Endeleeni na ujinga wenu ila we r looking down when u celebrate and smile, wajinga nyie.