CHADEMA wamefunga goli la "kisigino"

CHADEMA wamefunga goli la "kisigino"

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,683
Reaction score
2,158
Naanza kuiona taswira ya wapinzani kuchukua dola ya Tanzania hasa baada ya huu umoja wao katika UKAWA! Hii ilikuwa tamaa yangu ya mda mrefu kuona wapinzani wanaungana pamoja. Japo si shabiki wa siasa, lakini nilikuwa nikijiuliza na wakati mwingine kuwapa changamoto rafiki zangu wanaoshabikia siasa. Kwanini MAREKANI mfadhili mkuu wa vyama vingi duniani wana vyama viwili tu vikuu!? Naamini UKAWA ni mwanzo mzuri! Hongera CHADEMA kwa influnce,Mtaalam MBATIA na PROF. LIPUMBA kwa kuelewa umuhim wa umoja
 
Naanza kuiona taswira ya wapinzani kuchukua dola ya Tanzania hasa baada ya huu umoja wao katika UKAWA! Hii ilikuwa tamaa yangu ya mda mrefu kuona wapinzani wanaungana pamoja. Japo si shabiki wa siasa, lakini nilikuwa nikijiuliza na wakati mwingine kuwapa changamoto rafiki zangu wanaoshabikia siasa. Kwanini MAREKANI mfadhili mkuu wa vyama vingi duniani wana vyama viwili tu vikuu!? Naamini UKAWA ni mwanzo mzuri! Hongera CHADEMA kwa influnce,Mtaalam MBATIA na PROF. LIPUMBA kwa kuelewa umuhim wa umoja

Hapo ccm watahaha kwelikweli. Hivi kwanini kila hafla mgeni rasmi ni kikwete, mbona wakati wa mkapa aliwapa mawaziri wake nafasi hiyo wakati mwingine.
 
ww ni mfwasi wa siasa siku nyingi tu marekani haina vyama 2vya siasa tu vipo vingi ila vikubwa ni 2 tu democrat na republic kuhusu muungano wa ukawa hapo sina jibu kwani nawajuwa viongozi wetu wa siasa hawkawii kubadilika hapo nitapita tu
 
ww ni mfwasi wa siasa siku nyingi tu marekani haina vyama 2vya siasa tu vipo vingi ila vikubwa ni 2 tu democrat na republic kuhusu muungano wa ukawa hapo sina jibu kwani nawajuwa viongozi wetu wa siasa hawkawii kubadilika hapo nitapita tu

Uthubutu huu wa UKAWA tuwatie moyo ikiwezekana nasi tuwe na vyama vikubwa viwili, ccm na UKAWA.
 
ww ni mfwasi wa siasa siku nyingi tu marekani haina vyama 2vya siasa tu vipo vingi ila vikubwa ni 2 tu democrat na republic kuhusu muungano wa ukawa hapo sina jibu kwani nawajuwa viongozi wetu wa siasa hawkawii kubadilika hapo nitapita tu

Vyama vingi vilivyosalia vina State status siyo kama Repunlican na Democrat Parties.
 
Mwaandishi hakusema hawana vyama vingine ila....'viwili tu vikuu'. "............... Kwanini MAREKANI mfadhili mkuu wa vyama vingi duniani wana vyama viwili tu vikuu!..............." OTE=dady1000;9406147]

ww ni mfwasi wa siasa siku nyingi tu marekani haina vyama 2vya siasa tu vipo vingi ila vikubwa ni 2 tu democrat na republic kuhusu muungano wa ukawa hapo sina jibu kwani nawajuwa viongozi wetu wa siasa hawkawii kubadilika hapo nitapita tu[/QUOTE]
 
UKAWA wajiandae na kugawanywa na maccm! Ni vizuri wakalitambua hilo! Wajifunze toka kwa wenzao wa kenya!
 
Naanza kuiona taswira ya wapinzani kuchukua dola ya Tanzania hasa baada ya huu umoja wao katika UKAWA! Hii ilikuwa tamaa yangu ya mda mrefu kuona wapinzani wanaungana pamoja. Japo si shabiki wa siasa, lakini nilikuwa nikijiuliza na wakati mwingine kuwapa changamoto rafiki zangu wanaoshabikia siasa. Kwanini MAREKANI mfadhili mkuu wa vyama vingi duniani wana vyama viwili tu vikuu!? Naamini UKAWA ni mwanzo mzuri! Hongera CHADEMA kwa influnce,Mtaalam MBATIA na PROF. LIPUMBA kwa kuelewa umuhim wa umoja

Hapo ccm watahaha kwelikweli. Hivi kwanini kila hafla mgeni rasmi ni kikwete, mbona wakati wa mkapa aliwapa mawaziri wake nafasi hiyo wakati mwingine.

Uthubutu huu wa UKAWA tuwatie moyo ikiwezekana nasi tuwe na vyama vikubwa viwili, ccm na UKAWA.

Swadakata! hakuna haja ya kuwa na vyama lukuki na vyote kusimamisha mgombea mwisho wa siku wanaishia kunyang'anyana kura za upinzani! Wakubaliane ili mwisho wasiku asimame mmoja!

UKAWA oyeeeeeeeeeee.

Biblia inasema " nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu" . UKAWA OYEEEEE!, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Endelea kuwepo ili uje ushuhudie pia anguko la muungano huu.
 
Huu Muungano wa mabua kwenye Bajaji ya barafu hauwezi kupita kwenye Moto mkali.
Natarajia mipasho na anguko lao hivi punde....puuu!
 
ww ni mfwasi wa siasa siku nyingi tu marekani haina vyama 2vya siasa tu vipo vingi ila vikubwa ni 2 tu democrat na republic kuhusu muungano wa ukawa hapo sina jibu kwani nawajuwa viongozi wetu wa siasa hawkawii kubadilika hapo nitapita tu

Embu soma vizuri hoja yake usikurupuke kama mwana ccm.
 
kutokana na mfumo wa nchi hii, tabia za viongozi wetu wa upinzani na hila za ccm ukawa itaishia kudai katiba mpya. kumbuka ruzuku ndio fimbo yao.
 
Hoja ya ukanda, udini na ukabila zapeperuka. Sasa naona wameanza ya kitoto ya ugaidi leo. Imejibiwa kitaalam hapa jf ikaonekana ya kitoto kabisa. Nape atapata shinikizo, nimemsikia akiulizwa swali wapo fm, jamaa amechanganyikiwa kabisa anasema " mkiona Ukawa wapigeni mawe" mwandishi akabaki kucheka! aaaah aaah aaaah aaah!!!!
 
Back
Top Bottom