Mjengwa naye mbona wale wale wa zamani. Bado Ana mawazo ya kizamani. Hivi hajui kuwa kwa purukushani zile zinaweza mfanya mtu aende kuangalia kuna nini Jipya mpaka polisi wanaua.
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu MasalaKulangwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu MasalaKulangwa
kumbe mnafanya vitu kwa makusudi mkitegemea watu waogope ,kwenye ukweli hali ni tofauti na mnavyofikiria ,watu wamefika mkutanoni kama kawaida ,subiri wakishusha bendera ya mkoloni mweusi na kupandisha ya chadema sijui utaficha wapi uso wako .