Tuwapime kwa kuwakatoa akina halima bungeni.Chadema walitamka wazi kuwa hawatambui matokeo ya uchaguzi mkuu 2020.Na wakasusa kuchukua ruzuku
Swali ni je watateua wabunge viti maalumu kushika nafasi za akina Halima Mdee?
Kule Ikulu unafikiri wanaongeaga nini wakikutana? MaridhianoChadema walitamka wazi kuwa hawatambui matokeo ya uchaguzi mkuu 2020.Na wakasusa kuchukua ruzuku
Swali ni je watateua wabunge viti maalumu kushika nafasi za akina Halima Mdee?
Sio fursa ni HAKI yetu, wewe kazi yako ni kuposti utopolo tu day in day out.fursa
Sidhani angalia ile picha alipiga Mbowe na Raisi alivyokaa kijeuri mkao ule kwa wataalamu wa saikolojia.unaonyesha jeuriKule Ikulu unafikiri wanaongeaga nini wakikutana? Maridhiano
Mkuu jifunze kuwa na Subira,, mchakato bado unaendelea... kama una jambo la kushauri wewe shauri tu....na sio kuuliza kinafiki kama hivo..?? Unatuuliza unataka tupige ramli au..?Swali ni je watateua wabunge viti maalumu kushika nafasi za akina Halima Mdee?
Robot hawezi kujibadilisha mwenyewe, mpaka abadilishwe na bosi wake, hayo yameelekezwa kwenda kushoto tu...mpaka yasetiwe tena kugeuka kulia.Mkuu, huna SINGO nyingine zaidi ya hii, ambayo tumeshaichoka?
Wewe kwa ujinga huu unakula nini? Nadhani zile buku7 hupewi tena, pole mkuuWakati ule walinyimwa fursa na maslahi. Safari hii wamepewa fursa ya kula na maslahi. Bila shaka watateua tu. Kama waliweza sema kwa takribani miaka nane lowasa fisadi na walipotaka kumtumia kwa maslahi yao wakasema sio fisadi hawashindwi hilo la kukubali matokeo na kuteua wabunge. Ilimradi wahakikishiwe wanakula na wao asali.
Hivi mnafukiri wabunge ni WA chadema tu mbona Kuna wa Act wamo kwanza chadema hata wakijitoa wabunge wa uoinzani wapo waende zao wasisumbue watuSidhani angalia ile picha alipiga Mbowe na Raisi alivyokaa kijeuri mkao ule kwa wataalamu wa saikolojia.unaonyesha jeuri
Kuna kitu wanamtegea raisi
Mfano wasipoteua wabunge wao patakuwepo shida wajuzi mnajua
Ndio watateua na wanamtambua mama kama ni Rais coz yule mwingine ashajiendea zake kuzimuChadema walitamka wazi kuwa hawatambui matokeo ya uchaguzi mkuu 2020.Na wakasusa kuchukua ruzuku
Swali ni je watateua wabunge viti maalumu kushika nafasi za akina Halima Mdee?