CHADEMA walishakubali toka zamani kuwa....!

Shagiguku

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
407
133
watanzania wenzangu napenda kuwafahamisha kuwa, jamaa wa chadema walisha kubali kuwa wao wataendelea kuwa wapili tu katika kila uchaguzi wa rais na wabunge hapa nchini,

na ndiyo maana hata ukiangalia alama za mikono ya hivi vyama viwili utagundua kuwa CCM wao wana alama ya dole gumba :poa :A S 112::A S 112: :A S thumbs_up::A S thumbs_up: kumaaanisha kuwa wao daima wataendelea kuwa wa kwanza katika uchaguzi.

na wale wa chadema wana alama ya vidole viwili vilivyoachana :peace:wakiaashilia na kuwaambia watanzania kuwa wao daima wataendelea kuwa washindi wa pili katika uchaguzi wa rais,

na ndio maana hadi leo utaona CCM ni wa kwanza na CDM wanafuatia wakiwa ni wa pili.

nawaomba na wengine mfanye uchunguzi wenu mtueleze mmegundua ni kuhusu hivi vyama viwili.....!!!!



:cheer2: :yield::yield: :wave::wave:
 
Wewe kweli kilaza na umejawa nam magamba ya kobe mwili mzima
watanzania wenzangu napenda kuwafahamisha kuwa, jamaa wa chadema walisha kubali kuwa wao wataendelea kuwa wapili tu katika kila uchaguzi wa rais na wabunge hapa nchini,

na ndiyo maana hata ukiangalia alama za mikono ya hivi vyama viwili utagundua kuwa CCM wao wana alama ya dole gumba :poa :A S 112::A S 112: :A S thumbs_up::A S thumbs_up: kumaaanisha kuwa wao daima wataendelea kuwa wa kwanza katika uchaguzi.

na wale wa chadema wana alama ya vidole viwili vilivyoachana :peace:wakiaashilia na kuwaambia watanzania kuwa wao daima wataendelea kuwa washindi wa pili katika uchaguzi wa rais,

na ndio maana hadi leo utaona CCM ni wa kwanza na CDM wanafuatia wakiwa ni wa pili.

nawaomba na wengine mfanye uchunguzi wenu mtueleze mmegundua ni kuhusu hivi vyama viwili.....!!!!



:cheer2: :yield::yield: :wave::wave:
 
vitu kama hivi vina jukwaa lake la ucheshi na siyo jukwaa serious. Pum,b. . .a fu
 
watanzania wenzangu napenda kuwafahamisha kuwa, jamaa wa chadema walisha kubali kuwa wao wataendelea kuwa wapili tu katika kila uchaguzi wa rais na wabunge hapa nchini,

na ndiyo maana hata ukiangalia alama za mikono ya hivi vyama viwili utagundua kuwa CCM wao wana alama ya dole gumba :poa :A S 112::A S 112: :A S thumbs_up::A S thumbs_up: kumaaanisha kuwa wao daima wataendelea kuwa wa kwanza katika uchaguzi.

na wale wa chadema wana alama ya vidole viwili vilivyoachana :peace:wakiaashilia na kuwaambia watanzania kuwa wao daima wataendelea kuwa washindi wa pili katika uchaguzi wa rais,

na ndio maana hadi leo utaona CCM ni wa kwanza na CDM wanafuatia wakiwa ni wa pili.

nawaomba na wengine mfanye uchunguzi wenu mtueleze mmegundua ni kuhusu hivi vyama viwili.....!!!!



:cheer2: :yield::yield: :wave::wave:

Du! Kwa reasoning ya namna hii CCm itaelendeleza ufisadi Tanzania kwa maana kila mara watajiona wanachofanya ni sahihi. Ni kama kuku anayetaga yai na kuanza kulidonoa ili alile!
 
Leo mpo wengi kweli...ndo resolution ya mkutano wa chama chenu jana sio? Auposho imepanda kiaina.
 
ninaogopa kukuita zezeta coz huenda unazo hata za kukupeleka chooni.Hujui hata kusoma alama ya NYAKATI Hujui CcM kama ndicho chama pinzani 2015? OK nakubali CcM ni cha kwanza kwa Magamba na Ufisadi kwa asilimia 97 na cha pili ni CuFasilimia 3 Kulingana na ndoa yao.kwa muda huu CDM ni tishio kwa serikali au huoni kila tamko linalotolewa na CDM serikali inalifanyia kazi faster.eg KATIBA mpya ilikuwa ni sera ya CDM na mengine mengi CCM inadandia treni kwa mbele.hebu niambie MAGAMBA yenu yameshindikana kuloana mkayabandua? au mnaogopa yatabanduka na nyama?
 
Jamani, MBAVU SINA. REASONING YA NAMNA HII NAYO KALI. UTADHANI MTU ANATUMIA NANI HII.....
 
Back
Top Bottom