Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
watanzania wenzangu napenda kuwafahamisha kuwa, jamaa wa chadema walisha kubali kuwa wao wataendelea kuwa wapili tu katika kila uchaguzi wa rais na wabunge hapa nchini,
na ndiyo maana hata ukiangalia alama za mikono ya hivi vyama viwili utagundua kuwa CCM wao wana alama ya dole gumba oa :A S 112::A S 112: :A S thumbs_up::A S thumbs_up: kumaaanisha kuwa wao daima wataendelea kuwa wa kwanza katika uchaguzi.
na wale wa chadema wana alama ya vidole viwili vilivyoachana eace:wakiaashilia na kuwaambia watanzania kuwa wao daima wataendelea kuwa washindi wa pili katika uchaguzi wa rais,
na ndio maana hadi leo utaona CCM ni wa kwanza na CDM wanafuatia wakiwa ni wa pili.
nawaomba na wengine mfanye uchunguzi wenu mtueleze mmegundua ni kuhusu hivi vyama viwili.....!!!!
:cheer2: :yield::yield: :wave::wave:
na ndiyo maana hata ukiangalia alama za mikono ya hivi vyama viwili utagundua kuwa CCM wao wana alama ya dole gumba oa :A S 112::A S 112: :A S thumbs_up::A S thumbs_up: kumaaanisha kuwa wao daima wataendelea kuwa wa kwanza katika uchaguzi.
na wale wa chadema wana alama ya vidole viwili vilivyoachana eace:wakiaashilia na kuwaambia watanzania kuwa wao daima wataendelea kuwa washindi wa pili katika uchaguzi wa rais,
na ndio maana hadi leo utaona CCM ni wa kwanza na CDM wanafuatia wakiwa ni wa pili.
nawaomba na wengine mfanye uchunguzi wenu mtueleze mmegundua ni kuhusu hivi vyama viwili.....!!!!
:cheer2: :yield::yield: :wave::wave: