Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Nimemsikia WM 'akitoboa siri' ya mwaka 2010 kwa kusema 'CDM waliposhinda' kisha akajikanyaga kanyaga. Ina maana CCM haiko madarakani kihalali?
Tafakari, chukua hatua.
Tafakari, chukua hatua.