CHADEMA waliposhinda uchaguzi: Pinda

CHADEMA waliposhinda uchaguzi: Pinda

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Nimemsikia WM 'akitoboa siri' ya mwaka 2010 kwa kusema 'CDM waliposhinda' kisha akajikanyaga kanyaga. Ina maana CCM haiko madarakani kihalali?

Tafakari, chukua hatua.
 
Nimemsikia WM 'akitoboa siri' ya mwaka 2010 kwa kusema 'CDM waliposhinda' kisha akajikanyaga kanyaga. Ina maana CCM haiko madarakani kihalali?

Tafakari, chukua hatua.

Hata mimi niliisikia hiyo. Kumbe haya majitu ya CCM kweli yalishindwa uchaguzi.
 
Asante, hansard itusaidie kuhifadhi ushahidi huu muhimu kwa vizazi vijavyo. Of coz, tunajua kuwa hawakushinda hata bila huyu Mfalme wa Nyuki leo ikiwa ni zaidi ya miaka mitatu (3) toka sisi tujue ukweli.
 
Ilishaandikwa ya kuwa, ule ukweli uluosimama wataukiri kwa vinywa vyao.
 
Nimemsikia WM 'akitoboa siri' ya mwaka 2010 kwa kusema 'CDM waliposhinda' kisha akajikanyaga kanyaga. Ina maana CCM haiko madarakani kihalali?

Tafakari, chukua hatua.

Hah! Kumbe alitamka kabisa maneno hayo?
 
Nimemsikia WM 'akitoboa siri' ya mwaka 2010 kwa kusema 'CDM waliposhinda' kisha akajikanyaga kanyaga. Ina maana CCM haiko madarakani kihalali?

Tafakari, chukua hatua.

Ndugu kama ulikuwa unafuatilia uchaguzi huo unaweza thibitisha kuwa Matokeo yalikuwa yanarushwa na baadhi ya vyombo ya habari moja kwa moja toka vituoni. Mapema siku ya pili serikali ilizuia matokeo kurushwa mpaka pale tume ya uchaguzi itakapotoa matokeo.

Wilaya nilikokuwepo mimi CDM walishinda, lakini kilichotokea siku ya tatu wakati Mkurugenzi akielekea ukumbini kutangaza matokeo majira ya 9:30 alipokea CM toka kwa DC. Ujumbe aliopewa naomba nisiuweke hapa lakini kilichotokea ni kwamba DED alidondoka chini na kuzimia. ikabidi arudishwe ofisini na baada ya kama nusu saa akazinduka na akahadithia kilichotokea. kweli kilihuzunisha lakini matokeo yalipinduliwa na kada wa ccm akatanagazwa mshindi. Kilichotokea kwa wafuasi ni kupigwa mabomu na na njia zote kuu zilifungwa kwa ulinzi ulioletwa toka mkoani maana askari ndani ya wilaya walikuwa hawatoshi kutuliza ule mziki. na baada ya DED kutangaza hivyo alienda mafichoni kwa miezi 2 na DC kwa kazi hiyo akapandishwa na sasa ni RC.
 
Back
Top Bottom