Ndugu yangu najua Mwigulu amekuudhi unaongea kwa jazba na unatumia maneno unarudi kwenye ukweli. Unasema kama ni kweli walimu wapo waliokiuka wachukuliwe hatua naye ndivyo alivyo sema. Sasa ni kweli kijiji cha kaumbu na mwakwangu walimu waliwapa watu karatasi zikiwa tayari zimetikiwa. Mimi niseme tu Mwigulu hawi mvutaunga kwa kuitwa mvuta unga na hawi kilaza kwa kuitwa kilaza. Niliwambia kabla hajaenda igunga mkasema hivyohivyo, mimi nadhani wanajf huyu jamaa anatakiwa mkakati sio kumwita kilaza, the man is extremly smart na mimi sijaona kiongozi smart aina yake ndani ya CCM nikwambie ndugu huyu jammaaa nimchafuzi akipewa jukwaa anachafua kiasi kwamba watu wanaona cdm kama mavi vile. Kuna thread moja mtu alipost akasema jamaa anafaham kutumia mdomo wake, mimi nimepata kumsikia ni hatari sana. Pale igunga akina waitara walitangulia a month na walipita maeneo mengi ila alipopita Mwigulu watu wakabadilika. Kuna maeneo aliwambia watu wasimsikilize slaa akamchafua sana, amini slaa alipokwenda hakupata watu. Kwa hasira na kujifurahisha tunaweza kumwita jina lolote ila that boy sivyo alivyo ndio maana CCM imeongoza kura maeneo alikopita mh Mbowe na DR Slaa.sasa nasikia atakwenda mwanza na arusha anayebisha akamsikilize atajua ninachosema. Halafu nadhani kachanjiwa nini sijui akiongea watu wanatamani asimalize na wanafurahi kweli. Tukiendelea kumpuuza kuwa ni kilaza atatupiga na chaguzi zingine[/QUOTE
We bibi acha kujipendekeza, kama unampenda nenda kanywe nae chai, nyani we.
Jamaa nomaaa, Dk Slaa na Mbowe hawana hamu naye kabisaaaaa! Nadhani kwa sasa ni adui namba 1 wa CDM,, ni mikosi huyu dogo
Ndugu yangu najua Mwigulu amekuudhi unaongea kwa jazba na unatumia maneno unarudi kwenye ukweli. Unasema kama ni kweli walimu wapo waliokiuka wachukuliwe hatua naye ndivyo alivyo sema. Sasa ni kweli kijiji cha kaumbu na mwakwangu walimu waliwapa watu karatasi zikiwa tayari zimetikiwa. Mimi niseme tu Mwigulu hawi mvutaunga kwa kuitwa mvuta unga na hawi kilaza kwa kuitwa kilaza. Niliwambia kabla hajaenda igunga mkasema hivyohivyo, mimi nadhani wanajf huyu jamaa anatakiwa mkakati sio kumwita kilaza, the man is extremly smart na mimi sijaona kiongozi smart aina yake ndani ya CCM nikwambie ndugu huyu jammaaa nimchafuzi akipewa jukwaa anachafua kiasi kwamba watu wanaona cdm kama mavi vile. Kuna thread moja mtu alipost akasema jamaa anafaham kutumia mdomo wake, mimi nimepata kumsikia ni hatari sana. Pale igunga akina waitara walitangulia a month na walipita maeneo mengi ila alipopita Mwigulu watu wakabadilika. Kuna maeneo aliwambia watu wasimsikilize slaa akamchafua sana, amini slaa alipokwenda hakupata watu. Kwa hasira na kujifurahisha tunaweza kumwita jina lolote ila that boy sivyo alivyo ndio maana CCM imeongoza kura maeneo alikopita mh Mbowe na DR Slaa.sasa nasikia atakwenda mwanza na arusha anayebisha akamsikilize atajua ninachosema. Halafu nadhani kachanjiwa nini sijui akiongea watu wanatamani asimalize na wanafurahi kweli. Tukiendelea kumpuuza kuwa ni kilaza atatupiga na chaguzi zingine
Hapo umenena. Tarehe 1 Oktoba siku moja kabla ya uchaguzi alionekana akitoka NMB Igunga na gunia mbili zimesheneni ngawira. Sidhani kama walikuwa na askari wa kuwasindikiza. Kama majambazi ya tz yangekuwa na akili wangekuwa wanataim tu kwenye chaguzi, wangevuna kirahisi sana.
Huyo Mwigulu inafaa akatafutiwa namnaya kuzima porojo zake!!!!!! Ila hapa ATown sijui ila macharii hawadanganyiki, tena achunge sana watamtoa baruu!!!!!!!!Ndugu yangu najua Mwigulu amekuudhi unaongea kwa jazba na unatumia maneno unarudi kwenye ukweli. Unasema kama ni kweli walimu wapo waliokiuka wachukuliwe hatua naye ndivyo alivyo sema. Sasa ni kweli kijiji cha kaumbu na mwakwangu walimu waliwapa watu karatasi zikiwa tayari zimetikiwa. Mimi niseme tu Mwigulu hawi mvutaunga kwa kuitwa mvuta unga na hawi kilaza kwa kuitwa kilaza. Niliwambia kabla hajaenda igunga mkasema hivyohivyo, mimi nadhani wanajf huyu jamaa anatakiwa mkakati sio kumwita kilaza, the man is extremly smart na mimi sijaona kiongozi smart aina yake ndani ya CCM nikwambie ndugu huyu jammaaa nimchafuzi akipewa jukwaa anachafua kiasi kwamba watu wanaona cdm kama mavi vile. Kuna thread moja mtu alipost akasema jamaa anafaham kutumia mdomo wake, mimi nimepata kumsikia ni hatari sana. Pale igunga akina waitara walitangulia a month na walipita maeneo mengi ila alipopita Mwigulu watu wakabadilika. Kuna maeneo aliwambia watu wasimsikilize slaa akamchafua sana, amini slaa alipokwenda hakupata watu. Kwa hasira na kujifurahisha tunaweza kumwita jina lolote ila that boy sivyo alivyo ndio maana CCM imeongoza kura maeneo alikopita mh Mbowe na DR Slaa.sasa nasikia atakwenda mwanza na arusha anayebisha akamsikilize atajua ninachosema. Halafu nadhani kachanjiwa nini sijui akiongea watu wanatamani asimalize na wanafurahi kweli. Tukiendelea kumpuuza kuwa ni kilaza atatupiga na chaguzi zingine
Hahahaha pengine weshalizwa siku za nyuma wakaugulia maumivu kimya kimya,
ndugu yangu najua mwigulu amekuudhi unaongea kwa jazba na unatumia maneno unarudi kwenye ukweli. Unasema kama ni kweli walimu wapo waliokiuka wachukuliwe hatua naye ndivyo alivyo sema. Sasa ni kweli kijiji cha kaumbu na mwakwangu walimu waliwapa watu karatasi zikiwa tayari zimetikiwa. Mimi niseme tu mwigulu hawi mvutaunga kwa kuitwa mvuta unga na hawi kilaza kwa kuitwa kilaza. Niliwambia kabla hajaenda igunga mkasema hivyohivyo, mimi nadhani wanajf huyu jamaa anatakiwa mkakati sio kumwita kilaza, the man is extremly smart na mimi sijaona kiongozi smart aina yake ndani ya ccm nikwambie ndugu huyu jammaaa nimchafuzi akipewa jukwaa anachafua kiasi kwamba watu wanaona cdm kama mavi vile. Kuna thread moja mtu alipost akasema jamaa anafaham kutumia mdomo wake, mimi nimepata kumsikia ni hatari sana. Pale igunga akina waitara walitangulia a month na walipita maeneo mengi ila alipopita mwigulu watu wakabadilika. Kuna maeneo aliwambia watu wasimsikilize slaa akamchafua sana, amini slaa alipokwenda hakupata watu. Kwa hasira na kujifurahisha tunaweza kumwita jina lolote ila that boy sivyo alivyo ndio maana ccm imeongoza kura maeneo alikopita mh mbowe na dr slaa.sasa nasikia atakwenda mwanza na arusha anayebisha akamsikilize atajua ninachosema. Halafu nadhani kachanjiwa nini sijui akiongea watu wanatamani asimalize na wanafurahi kweli. Tukiendelea kumpuuza kuwa ni kilaza atatupiga na chaguzi zingine
Ni kweli salimia, mwigulu ameinyima ushindi cdm. Kajama kalibadilisha watu na kalitumia mbinu zote, hakajulikani kasukuma si kasukuma, kanyiramba si kanyaturu yaani balaa tu. Huyu jamaa anayesema mwanza hapati mtu labda hamjui mwigulu, ni kosa kubwa kumsikiliza mwigulu, na hilo ndio kosa walilofanya igunga. Angalia mpaka diwani aliamua kubwaga manyanga urugha kule iramba akaenda slaa na zito lakini walipoongea watu wakasema hawajamfikia mwigulu hata nusu ya hotuba. Ngoja aje mwanza then uwasikilize watu kishatoka mkutanoni