Tunao washutumu walimu kubemenda uchaguzi tujitokeze kwenye maandamano ya chadema

MIHULU

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
301
394
Kumekua na watu wengi wanaoamini Walimu ndo wahusika wakuu wanaoisaidia CCM na dola kuiba kula wakati ya uchaguzi. Ilihali ukweli upo wazi kabisa,mwl ni msimamiz tu wa kituo ambapo Kuna ma wakala wa kila chama,na wanashiriki zoez Hilo mwanzo mwisho ,,,

Ukweli NI kwamba mwizi mkuu ni Mkurugenzi mteule wa Rais ambaye ndo
Msimamiz mkuu wa uchaguz wilaya. Huyu ndo anabeba maelekezo na anajumuisha matokeo ya vituo vyote na kutangaza mshindi,,,huyu ndo anapaswa kunyooshewa vidole, Walimu husimamia Kaz yako vituoni tu.

Sasa nyinyi mnaoamini Walimu ndo tatizo twendeni na Mbowe tuandamane tushinikize tume huru ya uchaguzi.. sio tuwe team lawama tu,,,

NB : ILI MBEGU ICHIPUE NA KUOTA NI LAZIMA IFE NA KUOZA
 
😹
IMG_4615.jpeg
 
Kumekua na watu wengi wanaoamini Walimu ndo wahusika wakuu wanaoisaidia CCM na dola kuiba kula wakati ya uchaguzi. Ilihali ukweli upo wazi kabisa,mwl ni msimamiz tu wa kituo ambapo Kuna ma wakala wa kila chama,na wanashiriki zoez Hilo mwanzo mwisho ,,,

Ukweli NI kwamba mwizi mkuu ni Mkurugenzi mteule wa Rais ambaye ndo
Msimamiz mkuu wa uchaguz wilaya. Huyu ndo anabeba maelekezo na anajumuisha matokeo ya vituo vyote na kutangaza mshindi,,,huyu ndo anapaswa kunyooshewa vidole, Walimu husimamia Kaz yako vituoni tu.

Sasa nyinyi mnaoamini Walimu ndo tatizo twendeni na Mbowe tuandamane tushinikize tume huru ya uchaguzi.. sio tuwe team lawama tu,,,

NB : ILI MBEGU ICHIPUE NA KUOTA NI LAZIMA IFE NA KUOZA
Nendeni mkaandamane msituchoshe
 
Kumekua na watu wengi wanaoamini Walimu ndo wahusika wakuu wanaoisaidia CCM na dola kuiba kula wakati ya uchaguzi. Ilihali ukweli upo wazi kabisa,mwl ni msimamiz tu wa kituo ambapo Kuna ma wakala wa kila chama,na wanashiriki zoez Hilo mwanzo mwisho ,,,

Ukweli NI kwamba mwizi mkuu ni Mkurugenzi mteule wa Rais ambaye ndo
Msimamiz mkuu wa uchaguz wilaya. Huyu ndo anabeba maelekezo na anajumuisha matokeo ya vituo vyote na kutangaza mshindi,,,huyu ndo anapaswa kunyooshewa vidole, Walimu husimamia Kaz yako vituoni tu.

Sasa nyinyi mnaoamini Walimu ndo tatizo twendeni na Mbowe tuandamane tushinikize tume huru ya uchaguzi.. sio tuwe team lawama tu,,,

NB : ILI MBEGU ICHIPUE NA KUOTA NI LAZIMA IFE NA KUOZA
Mie huwa nashangaa kuona Hadi humu Jf Kuna watu wanaamini kuwa walimu ndo wanaoiba kura.
 
Kumekua na watu wengi wanaoamini Walimu ndo wahusika wakuu wanaoisaidia CCM na dola kuiba kula wakati ya uchaguzi. Ilihali ukweli upo wazi kabisa,mwl ni msimamiz tu wa kituo ambapo Kuna ma wakala wa kila chama,na wanashiriki zoez Hilo mwanzo mwisho ,,,

Ukweli NI kwamba mwizi mkuu ni Mkurugenzi mteule wa Rais ambaye ndo
Msimamiz mkuu wa uchaguz wilaya. Huyu ndo anabeba maelekezo na anajumuisha matokeo ya vituo vyote na kutangaza mshindi,,,huyu ndo anapaswa kunyooshewa vidole, Walimu husimamia Kaz yako vituoni tu.

Sasa nyinyi mnaoamini Walimu ndo tatizo twendeni na Mbowe tuandamane tushinikize tume huru ya uchaguzi.. sio tuwe team lawama tu,,,

NB : ILI MBEGU ICHIPUE NA KUOTA NI LAZIMA IFE NA KUOZA
Watanzania sote ni waoga ila zigo tunalishusha kwa walimu
 
Kumekua na watu wengi wanaoamini Walimu ndo wahusika wakuu wanaoisaidia CCM na dola kuiba kula wakati ya uchaguzi. Ilihali ukweli upo wazi kabisa,mwl ni msimamiz tu wa kituo ambapo Kuna ma wakala wa kila chama,na wanashiriki zoez Hilo mwanzo mwisho ,,,

Ukweli NI kwamba mwizi mkuu ni Mkurugenzi mteule wa Rais ambaye ndo
Msimamiz mkuu wa uchaguz wilaya. Huyu ndo anabeba maelekezo na anajumuisha matokeo ya vituo vyote na kutangaza mshindi,,,huyu ndo anapaswa kunyooshewa vidole, Walimu husimamia Kaz yako vituoni tu.

Sasa nyinyi mnaoamini Walimu ndo tatizo twendeni na Mbowe tuandamane tushinikize tume huru ya uchaguzi.. sio tuwe team lawama tu,,,

NB : ILI MBEGU ICHIPUE NA KUOTA NI LAZIMA IFE NA KUOZA
Mwalimu aharibu uchaguzi,
1. Kura zote hupigwa na walimu
tu?
2. Tume ya uchaguzi inaongozwa
na walimu?
3. Wawakilishi wa vyama vya
siasa kwenye vituo vya kupiga
na kuhesabu kura ni walimu?
4. Anayetangaza matokeo ya
uchaguzi ni mwalimu?

Kila wakati huwa najiuliza, mwalimu anahusikaje na kubemenda uchaguzi?

Mawakala wa upinzani wanaohongwa wasaini matokeo CCM imepata kura nyingi kuliko vyama vilivyowatuma, ni walimu wale?

Watanzania tuache fikra finyu juu ya siasa zetu za kishamba. Uchaguzi huharibiwa na wengine, lawama kwa walimu.

Moja ya mambo yanayoharibu uchaguzi ni watu wengi kutojiandikisha wala kuhudhuria upigaji kura. Tumewaachia wazee na akina mama kupiga kura. Tunajifanya tuko busy.

Kama wote wenye sifa wangejiandikisha na wakapiga kura, sidhani kama hiyo tume na wajinga wengine wangeweza kutuharibia maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.

Tuamke tuamue sasa, kwamba kura yangu iamue nani awe kiongozi wetu, tunaweza.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom