jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hii ni tabia ya wapinzani toka 1995.
Mwaka huu tume inafanya kazi kwa weledi sana na mpaka sasa hatujaona mapungufu ya NEC ukiacha shutuma za kitoto kutoka kwa Mbowe.
Kwa jinsi NEC inavyoendesha mambo yake katika uchaguzi wa mwaka huu sitegemei CHADEMA kuwasingizia tume kuwa kuna wizi wa kura.
Mwaka huu tume inafanya kazi kwa weledi sana na mpaka sasa hatujaona mapungufu ya NEC ukiacha shutuma za kitoto kutoka kwa Mbowe.
Kwa jinsi NEC inavyoendesha mambo yake katika uchaguzi wa mwaka huu sitegemei CHADEMA kuwasingizia tume kuwa kuna wizi wa kura.