stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
Wakuu,Gwajima na IGP ernest Mangu wanafanya nini hapo uwanjani?
hivi hujaskia gesti na mahoteli yote yamejaa?Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,
Hebu njoo ubadilishe kauliKama Lowassa anajiamini ni kwanini anahangaika kukodi magari ya kusafirisha watu mpaka Arusha?
Ataenda act
Kumbe na wewe ni kuwadi wa lowasa?
Uwepo wa ccm uonekane kwa wingi wa kura.
Huyo lowasa anatutambua kuanzia kwa batilda hadi kwa mkwe arumeru.
Hebu njoo ubadilishe kauli
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu!
njaa ikifikia kunidhalilisha kiasi hiki najinyonga .
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu!
Ugonjwa wa uti wa mgongo ni hatari sana
Njoo ubadilishe kauli
Wewe ni kichaa
Nimefika,nabadili kauli mkuu
Lowasa hawezi kupitishwa kugombea urais kwa tiketi ya ccm. Labda aende UKAWA
Hongera kwa kukubali huo ndio uungwana!
Umeshahesabiwa ila usiendeleze ulaghai
Mkuu bado una msimamo huhuhuu
Ameshapata dawa kwa sasa?
Hata nikiingia kanisani na kutubu nitapewa upadre?hata wewe ukija msikitini ukavua viatu na kupiga goti na kukiri dhambi zako utasamehewa tu