Mleta mada anasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani CCM ya sasa hugawa vyeo kienyeji pasipo kuzingatia utendaji kazi kwa uadilifuWamekejeli kwa namna ipi? Una mifano ya kejeli hizo au ni akili zako zinafikiri zimefikiri na kuandika hivyo..?
Unaelewa maana na dhana ya kuingilia mahakama kweli wewe? Au unadhani mtu akitaja kesi fulani tu iliyoko mahakamani basi anakuwa ameingilia mahakama...?
I think there is a need for you to impart yourself with knowledge about this so that you could be able to avoid speaking publicly things which you don't know...
Haki ni lazima itendedeke na ionekane inatendeka. Kinyume chake, hawawezi kuzuia watu kulalamika na kusema kwa sauti kubwa sana...!!
This is too low my friend...
Umekaririshwa ujinga nawe unaumwaga hadharani kwa watu wenye akili na ufahamu...
Wewe kwa hakika huelewi na hujui maana na dhana zima ya "kuingilia mahakama". Jipe muda ujifunze, utaelewa...
Otherwise acha kuanika ujinga wako hadharani ukiamini unajua wakati hujui...!
NB: Kama hukumu imetoka, maana yake shauri limeikwisha. Kwa hatua hiyo, ni ruksa kila mtu kujadili hukumu iliyotolewa na mahakama...!!
CCM ndiyo wanaidharau mahakama kwa kuwatumia Polisiccm kuwabambikia kesi wapinzani, kutengeneza kesi za uongo ni kuidharau mahakama, kupeleka kesi mahakamani wakati unajua ni maneno ya kutengeneza tu ni kuidharau mahakama, kwa kifupi CCM ndiyo huidharau mahakama siku zoteMadhambi ya CCM isiwe sababu ya CHADEMA kudharau Mahakama
KIBINADAMU ANAYE KUPA KAZI TU UNAMTII NA KUMUOGOPA ILI USIJE FUKUZWA KAZI NDIO IJE KWAO MTU ANAKUTOA KWENYE MSHAHARA WA 3M MPAKA 6M ETII USIMTII. patheticZawadi ya vyeo kwa majaji wote ni kuhakikisha wanawaonea chadema kwa kiwango cha kutisha bila Aibu wala kumuogopa mungu
Jaji amezawadiwa cheo akiwa katikati ya kesi ni Aibu kubwa ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, kwenda kumuongeza mshahara mtu asiyejua PGO anayepuza ushahidi wa kweli ni wizi wa pesa za walipa kodi , uteuzi wake Utenguliwe haraka kuepuka Aibu kubwa DunianiKIBINADAMU ANAYE KUPA KAZI TU UNAMTII NA KUMUOGOPA ILI USIJE FUKUZWA KAZI NDIO IJE KWAO MTU ANAKUTOA KWENYE MSHAHARA WA 3M MPAKA 6M ETII USIMTII. pathetic
Nchi ili iendelee tunahitaji mabadiliko makubwa sana tena mnooo vinginevyo hata miradi mikubwa kama SGR haitoisaidia Nchi itahujumiwa mapema tu na wahuni wenye kutaka maslahi. Yangu macho
Uko sahihi ndiyo maana kosa kubwa la nchi hii haijengi taasisi IMARAKIBINADAMU ANAYE KUPA KAZI TU UNAMTII NA KUMUOGOPA ILI USIJE FUKUZWA KAZI NDIO IJE KWAO MTU ANAKUTOA KWENYE MSHAHARA WA 3M MPAKA 6M ETII USIMTII. pathetic
Nchi ili iendelee tunahitaji mabadiliko makubwa sana tena mnooo vinginevyo hata miradi mikubwa kama SGR haitoisaidia Nchi itahujumiwa mapema tu na wahuni wenye kutaka maslahi. Yangu macho
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine. Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Pesa za maendeleo zinatumika kuidhoofisha chadema ni vigumu Taifa kupata maendeleoKIBINADAMU ANAYE KUPA KAZI TU UNAMTII NA KUMUOGOPA ILI USIJE FUKUZWA KAZI NDIO IJE KWAO MTU ANAKUTOA KWENYE MSHAHARA WA 3M MPAKA 6M ETII USIMTII. pathetic
Nchi ili iendelee tunahitaji mabadiliko makubwa sana tena mnooo vinginevyo hata miradi mikubwa kama SGR haitoisaidia Nchi itahujumiwa mapema tu na wahuni wenye kutaka maslahi. Yangu macho
Wewekumalerusm Tetetea Fao la Kujitoa onyelarism?Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine. Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Mimi uwa nashangaa sana wanaomsifia mama kuwa mpenda haki Yule Mama Ni Ibilisi wa wazi wazi kabisa.Rais alipomteua jaji kuwa jaji kiongozi ni kuingiliwa uhuru wa mahakama ni kishawishi, ukumbuke Rais aliongelea kesi ya mbowe BBC kwa Lugha nyepesi CCM wameingilia mahakama kwa kiasi kikubwa ndiyo maana ushahidi wa upande wa mbowe wenye kuzingatia PGO haukuzingatiwa badala yake jaji wa CCM kachukua ushahidi wa Polisiccm ambao ni ushahidi wa kutengeneza kwa njia haramu za kishetani, CCM haipo juu ya Sheria
CCM na Polisiccm wao wapo juu ya SheriaSheria zina maana tu pale ambako zina heshimiwa na zinatoa haki
Dawa pekee ni kuwafungulia kesi kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The HagueMimi uwa nashangaa sana wanaomsifia mama kuwa mpenda haki Yule Mama Ni Ibilisi wa wazi wazi kabisa.
KabisaDawa pekee ni kuwafungulia kesi kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague
..CCM wako juu ya sheria.
Mahakama yenyewe imeamua kujidhalilisha , angalia Jaji aliiyekubali kuongea kuhusu uteuzi ili amkandamize Mbowe , huoni jinsi alivyojiuza mwenyewe ?Madhambi ya CCM isiwe sababu ya CHADEMA kudharau Mahakama
Mahakama iliyokubali kutumikia siasa chafu itatoa wapi heshima? Kwa taarifa yako kwa hapa ilipofikia ccm, ni lazima machafuko yatokee ili turudi kwenye mfumo wa utawala wa sheria. Kwa sasa chama kilichopitwa na wakati kinanajisi utawala mzima wa sheria ili kiendelee kukaa madarakani kwa shuruti.
Machafuko thubutu!Mahakama iliyokubali kutumikia siasa chafu itatoa wapi heshima? Kwa taarifa yako kwa hapa ilipofikia ccm, ni lazima machafuko yatokee ili turudi kwenye mfumo wa utawala wa sheria. Kwa sasa chama kilichopitwa na wakati kinanajisi utawala mzima wa sheria ili kiendelee kukaa madarakani kwa shuruti.