Mkuu nimeona hiyo yasemekana ni mvutano kati ya seriakli na chadema juu ya mswada wa fedha ambao umeainisha kodi zilizomo katika bidhaaa hivo serikali imeamua
kukaa nje ya bunge na chadema na kukubaliana baadhi ya hoja
zilizopelekwa na chadema ingawa chadema wameendeleakuibana serikali katika baadhi ya maeneo.
hadithi za alinacha,ni wapumbavu tu ndo wanao ziamini. Kweli watz tumefika mwisho wa kufikiri kama kila mtu analeta topic halafu watu wanashabikia bila hata kufikiri kidogo. Kweli mtanzania alikua anastahili kutawaliwa milele na wazungu.
Wewe ni mmalawi?hadithi za alinacha,ni wapumbavu tu ndo wanao ziamini. Kweli watz tumefika mwisho wa kufikiri kama kila mtu analeta topic halafu watu wanashabikia bila hata kufikiri kidogo. Kweli mtanzania alikua anastahili kutawaliwa milele na wazungu.
hadithi za alinacha,ni wapumbavu tu ndo wanao ziamini. Kweli watz tumefika mwisho wa kufikiri kama kila mtu analeta topic halafu watu wanashabikia bila hata kufikiri kidogo. Kweli mtanzania alikua anastahili kutawaliwa milele na wazungu.
sasa serikali inaanza kuwa sikivu!
Hi Ni kweli mkuu nakuunga mkono kwa asilimia 100%hadithi za alinacha,ni wapumbavu tu ndo wanao ziamini. Kweli watz tumefika mwisho wa kufikiri kama kila mtu analeta topic halafu watu wanashabikia bila hata kufikiri kidogo. Kweli mtanzania alikua anastahili kutawaliwa milele na wazungu.