CHADEMA waigeni CUF

Chadema hawana cha kujifunza kutoka CUF, kwani hata CCM sasa wanahangahika ili wapate watu makini na wenye uchungu na nchi yetu kama walioko CHADEMA. Fanya tu utafiti uliomdogo kabisa utagundua kwamba wote wenye ueelewa mzuri wako CHADEMA na kwa wale ambao bado wapo CCM ni kwasababu wanapigania matumbo-maslahi yao. Ili uwe na uhakika angalia hata matokeo ya Uchaguzi mwaka jana. Sehemu zote wenye watu makini waliipigia kura CHADEMA. CCM walipata kura vijijini ambapo ni rahisi kuwarubuni watu kwa vitu vidogovidogo kama Khanga, kofia , 2000 na VITISHO. Hakika CHADEMA wana watu makini sana, jpo mimi siyo mwanachama wao, lkn hilo haliwezi kunifanya nisiseme ukweli kwamba CHADEMA wana watu makini kuliko sisi japo tuna wanachama wengi na resource nyingi kuliko wao.
 

Kama tutasubiri CUF itukomboe, tuwe wavumilivu sana kwani itabidi tungojee miaka 50 mingine. Unajua polisi wala hawana shida na CUF ndiyo maana hata maandamano yao huwa hayazuiliwi. Kama unataka kujua impact ya CDM kaulizie Mbeya na Mwanza. Poleni CUF mtabakia kuwa watazamaji tu wa matukio nchini.
 
mchuma janga hula na wakwao. Endelea kupandikiza chuki kwa watanzania.
 
CUF ni wanaume wa kweli walimtoa jasho mkapa mpaka mwenyewe likamtoka la moyoni ooh nilikuwa sipati usingizi sasa nitalala, naamini CUF kwa sasa wanapiga jaramba si mbali 2015 watachukua nafasi yao.
 
Unataka CDM waolewe kama CUF? Unataka waige nini kutoka CUF..USHOGA? au ndoa imewashinda? nasikia magamba sasa wanakula kisamvu! ndio ndoa hiyo CUF wewe, style zote utageuzwa,,chuma mboga, mbuzi kagoma kwenda, jipimie, toa hutuba n.k! sasa unataka CDM waige nini...
 
huyo ndiyo padiri slaa.anataka kuwa amiri jeshi mkuu ilihali muungurumo wa mabomu hewa tu anajificha kwy spika,vp nchi ikivamiwa na marekani na ile midege yake na yeye ndio rais si atauza nchi?namshauri arudi kamtumikia bwana kanisana mikiki ya siasa haiwezi.kanisa limemsomesha kwa hela nyingi kisha kaasi natumai mtu wa aina hii ni rahisi kuasi hata nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…