johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,956
Baraza la madiwani manispaa ya Iringa lina wajumbe 28 CHADEMA 14 na CCM 14.
Awali Naibu meya alikuwa mwanachama wa CHADEMA lakini aliunga mkono juhudi na kuhamia CCM ambako walimwomba agombee tena udiwani na kisha unaibu meya.
Uchaguzi umevunjika baada ya CHADEMA kudai kila mpiga kura aandike jina lake kwenye karatasi ya kupigia kura kitu ambacho ni kinyume cha utaratibu na walipokataliwa waliamua kutoka nje ya ukumbi.
Source ITV habari!
Awali Naibu meya alikuwa mwanachama wa CHADEMA lakini aliunga mkono juhudi na kuhamia CCM ambako walimwomba agombee tena udiwani na kisha unaibu meya.
Uchaguzi umevunjika baada ya CHADEMA kudai kila mpiga kura aandike jina lake kwenye karatasi ya kupigia kura kitu ambacho ni kinyume cha utaratibu na walipokataliwa waliamua kutoka nje ya ukumbi.
Source ITV habari!