Chadema wafunika Musoma

Chadema wafunika Musoma

madiwani wa manispaa ya Musoma wanendelea kumwaga sera na kuelezea wanafanya nini kwenye manispaa ...watu ni wengi ....Naripoti...
Tujuze mafanikio yaliyopatikana na changamoto zake. All the best mkuu.
 
diwani wa kata ya Makoko mh Aloyse Mawazo anasema kwamba manispaa ya Musoma imeweza kurekebisha barabara na wanajaribu kufanya mbinu ili waweze kupunguza migogoro ya viwanja ambavyo wananchi walinyang'anywa na serikali ...bila sababu maalum ...katika changamoto anasema fungu la manispaa halifiki kwa wakati ....na linafika nusunusu....
 
diwani wa kata ya Makoko mh Aloyse Mawazo anasema kwamba manispaa ya Musoma imeweza kurekebisha barabara na wanajaribu kufanya mbinu ili waweze kupunguza migogoro ya viwanja ambavyo wananchi walinyang'anywa na serikali ...bila sababu maalum ...katika changamoto anasema fungu la manispaa halifiki kwa wakati ....na linafika nusunusu....hivyo kuchelewesha maendeleo ya manispaa ...
 
madiwani wa manispaa ya Musoma wanendelea kumwaga sera na kuelezea wanafanya nini kwenye manispaa ...watu ni wengi ....Naripoti...

Acha umbea weweee. Watu wengi ndiyo nini. Ujinga mtupu sasa hivi ishu ni Arumeru tuu usituzingue hapa jamvini.
 
Back
Top Bottom