CHADEMA Vs CCM; Comparative Analysis!

CHADEMA Vs CCM; Comparative Analysis!

Status
Not open for further replies.

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,196
Reaction score
7,532
WAPENZI WA CHAMA[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wapenzi wengi wa chama ni wananchi wa kawaida na masikini sana wanaotaka maisha yenye nafuu kidogo
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wapenzi wake wengi ni watu walioko kwenye system wanaopambana kuzilinda nafasi zao kwa njia yeyote ile.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ULINZI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Chama na viongozi hulindwa na vijana dhoofu ili hali (wasiio na silaha yoyote) ila wenye za kichwani .Huifanya kazi hii kwa kushirikiana na wananchi wakawada.
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Hulindwa na vyombo rasmi ikiwemo vyombo vya usalama vya serikali vyenye nyenzo za kisasa.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
VIONGOZI WAKE
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuchanganika na wananchi wa kawaida hata kama ni kwenye dala dala.
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuishi maisha ya juu na yakutukuzwa zaidi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Niwanyenyekevu Sana kwa wananchi
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wakati Fulani huwatisha wananchi hasa wanaofikiri kinyume na wao.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
KAMPENI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi huhudhuria mikutano kwa baahati nasibu tuu baada ya kutangaziwa.
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wahudhuriaji hukusanywa na kupelekwa kwa mabasi kwenye mkutano na kisha kupatiwa posho ya kujikimu.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wananchi ndio huwachangia wagombea ili waweze kufanya kampeni.
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Wagombea ndio huwapa wananchi kitu kidogo ili waweze kuwachagua.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Hueleza jinsi Serikali inayoongozwa na CCM, ilivyoshindwa kutekeleza majukumu yake.
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Huilamu CHADEMA kwa kurudisha nyuma maendeleo ya nchi (japo wao ni wapinzani tu).
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
KATIKA KUONGOZA SERIKALI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni Chama cha upinzani (ambacho sera zake haziwajibiki kutekelezwa)japo kwa kiwango kikubwa ndizo zinazotekelezwa.Mf; Mchakato wa katiba mpya
[/TD]
[TD="width: 268, bgcolor: transparent"]Ni Chama tawala (ambacho sera zake ndizo zinatakiwa zitekelezwe) ila wanapobanwa wanatekeleza za CHADEMA kwa kuwa hoja za CHADEMA zinakuwa nzito mno.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
BUNGENI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wanapenda kuhoji mambo hata kama jambo linaonekana kuwa dogo.
[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wana gonga meza hata msemaji anapotaja wilaya za Tanzania (mradi tu msemaji awe CCM).
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Wote Wako makini wakati wote.
[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Wengine wanasinzia, wanaongea, wanachat isipokuwa wachache tu ndio wanakuwa makini wakati wote.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
UWAZI
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 266, bgcolor: transparent"]Ni wawazi sana na inapotokea jambo lenye utata kidogo tu wanakuja JF, au kuita vyombo vya habari kwa ajili ya ufafanuzi.
[/TD]
[TD="width: 262, bgcolor: transparent"]Ni wagumu wakutolea mambo ufafanuzi hadi waone hakuna tena ujanja .Wakati Fulani hata wakialikwa kwenye midahalo hawahudhurii.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kwa ujumla mpaka sasa ndivyo hali ilivyo kwa jinsi mimi nilivyojaribu kufuatilia.Hiiinaweza kukusolewa kama kuna mahali kuna makosa.

kalikumtima jackson
  • Mimi nashangaa sana watu wanaoitetea CCM!!! wanashindwa kuja na hoja zenye nguvu za kushinda na badala yake wanaungana na CHADEMA kurushiana matusi na kuondoka kwenye hoja zenye tija!! Naamini Wana CCM wana mambo mazuri na mengi ya kuwashinda CHADEMA katika uzi huu kwa hoja!!

    CCM ni chama kikongwe kimekomaa; CHADEMA ni chama kichanga kinachojaribu
    CCM ni chama kilichojaribiwa na kuyaona menngi; CHADEMA hakina uzoefu wowote
    CCM ni chama kilicholeta uhuru; CHADEMA ni chama kilicho leta siasa za maandamano na nguvu ya Umma
    CCM ni chama kilicholeta siasa za shari; CHADEMA ni chama kilicholeta za uhasama
    CCM ni chama kilichojenga umoja wa Watanzania; CHADEMA ni chama kilicholeta mgawanyiko wa Wabunge wa wapinzani
    CCM kinaongoza serikali yenye kuheshimika kimataifa; CHADEMA kinaongoza upinzani Bungeni usioheshimika kwa wapinzani wenzao bungeni.
    CCM kina miradi ya Kiuchumi; CHADEMA kinamtegemea Sabodo na Wadhamini wao tu
    CCM chini ya Nyerere ilionyesha kuwa inaweza; CHADEMA chini ya Mtei ilikuwa inapumlia Mashine
    CCM imeisha fanya mengi (Mabaya na Mazuri); CHADEMA haina mengi iliyokwisha fanya

    Kama na mimi ningekuwa kwenye kundi la mikakati ya kujenga sura ya CCM, hapa (uzi huu) pangelikuwa ni sehemu nzuri ya kuwasambaratisha CHADEMA (lisemwalo) bila ya matatizo!!! jifunzeni jamani kuwa na hoja za kuvisaidia vyama vyenu!!!!!

 
Subiri bk7 wamalize kupokea posho usikie majibu yao
 
cccm ndio wanaoogoza kwa kuficha pesa nje ya nchi vs chadema ndio wanaoogoza kwa kuibua ufisadi wa ccm..
hahaha
CHADEMA YATOSHA!
 
chadema ---kulisha watu sumu
ccm ----- kukemea na kuumbua wanaolisha watu sumu
 
Mkuu......
Subiri... manake Utasahihishwa sasa hivi.. Subiri wenye
CCM waje...
Mimi ni Mkono SHOTO..
 
chadema .....kumwagia watu tindikali
ccm .........kuwashtaki kwa wananchi wale wanaomwagia watu tindikali
 
chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
 
chadema ;;;kujilipua na mabomu ili kuhurumiwa na wananchi
ccm ........kusingiziwa kuwa ndio imelipua mabomu
 
mbona lwakatare alipotaka kumteka msaki hawakuwa wazi
 
chadema........wabunge wengi ni wahuni.
ccm ..........wabunge wengi ni wastaarabu,wanaongea kwa hekima na ustahimilivu mkubwa
 
chadema .....kutishia vikongwe na walemavu kwa bastola
ccm ......kukemea wanaotishia vikongwe na walemavu kwa bastola
 
cccm ndio wanaoogoza kwa kuficha pesa nje ya nchi vs chadema ndio wanaoogoza kwa kuibua ufisadi wa ccm..
hahaha
CHADEMA YATOSHA!
unajua mzee ndesambulo kaficha kiasi gani nje au unaropoka hata dada huna.
 
chadema .....kumwagia watu tindikali
ccm .........kuwashtaki kwa wananchi wale wanaomwagia watu tindikali
chadema ---kulisha watu sumu
ccm ----- kukemea na kuumbua wanaolisha watu sumu
chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
mfuasi wa kambarage Sasa kama unadhani hizi ni point; kwa nini usiziweke kwenye post moja kinyume chake unaweka vipost kibao vinavyofanana halafu ndani hamna kitu? au lengo kuuharibu huu uzi?
 
CCM-wanaongoza kwa kuficha wanaoua tembo wetu

CDM-wanaongoza kwa kuwafichua wanaoua tembo wetu!
 
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom