CHADEMA vs ACT Tanzania

CHADEMA vs ACT Tanzania

chadema wanawakati mgumu sana kwan ACT TANZANIA imekua kitisho kwa kuchukua viongozi wake wengi sn. mikoa na wilaya viongozi wengi wamwswitch side.je wewe waonaje madiwan na wabunge 2014/15 ?
Naona CCM ndo inazikwa,maana vyama vyenye ushindani mkubwa sasa ni CDM na ACT ,Ila CCM ndio inajifia taratibu kwishney kabisa.
 
act ni mtoto aliefia tumboni mwa mama yake ccm kabla ajazaliwa...




viva CHADEMA.
 
Inawezekanaje alliance for...and traitors ikawa juu ya CDM iliyojengwa kwa miaka mingi,
 
Back
Top Bottom