MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Salam sana WanaJF na Watanzania wote wapenda maendeleo...nipo hapa Same baadae ntaelekea Mwanga..nashangazwa sana na baadhi ya viongozi wa kichama..hawakubaliki kabisa..Naam.... ntakuja lini huku kuwaelimisha hawa Jammaa ili wawezekufunguka na kufahamu tafsiri za maendeleo, haki na wajibu?.Kumepooza sana huku...tafadhalini sna mwahitajika katika maeneo haya.
Aksante.. sanaa
Aksante.. sanaa