CHADEMA-Vipi huku Mwanza, kulikoni.....?

CHADEMA-Vipi huku Mwanza, kulikoni.....?

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,438
Niko Mwanza, na nimezunguka mitaa yote ya jiji hili lanye mandhari nzuri ya kuvutia lakini sijabahatika kuona Bendera ya CHADEMA kote nilikopita, kulikoni...? Au ile OPERATION SANGARA na M4C hazijafanya kazi...?

Nijuavyo mimi, hili ni eneo ambalo lina ushawishi mkubwa kisiasa huku Kanda ya Ziwa, katika kipindi hiki cha miaka miwili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu, ingekuwa ni vyema kwa CHADEMA kuelekeza nguvu zake huku baada ya kuwa tayari imeshakamata kanda ya Kaskazini.

Copy to: Mwita Maranya
 
Niko Mwanza, na nimezunguka mitaa yote ya jiji hili lanye mandhari nzuri ya kuvutia lakini sijabahatika kuona Bendera ya CHADEMA kote nilikopita, kulikoni...? Au ile OPERATION SANGARA na M4C hazijafanya kazi...?

Nijuavyo mimi, hili ni eneo ambalo lina ushawishi mkubwa kisiasa huku Kanda ya Ziwa, katika kipindi hiki cha miaka miwili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu, ingekuwa ni vyema kwa CHADEMA kuelekeza nguvu zake huku baada ya kuwa tayari imeshakamata kanda ya Kaskazini.

Copy to: Mwita Maranya

Itakuwa wanaomboleza kushindwa kwa Odinga.
 
mwanza hatuweki bendera ....sisi ni watu wa action hata magamba wanajua hilo.......na ukitaka kujua chadema ipo mwanza itisha mkutano hata wa kata ila bendera zipo nyingi mbona
 
acha uongo ni mtaa gani umepita hamnna bendera?
 
mwanza hatuweki bendera ....sisi ni watu wa action hata magamba wanajua hilo.......na ukitaka kujua chadema ipo mwanza itisha mkutano hata wa kata ila bendera zipo nyingi mbona

Aisee mpe aelewe, asidhani kwa Kuwa bendera hakuna na Chadema hakun,hebu karibu kupinga Makoroboi na bendera yako ya Ccm uonyeshwe kazi,Ndiyo utaijua Mwanza ukoje. Umetumwa na ANNA Spika nn?
 
Niko Mwanza, na nimezunguka mitaa yote ya jiji hili lanye mandhari nzuri ya kuvutia lakini sijabahatika kuona Bendera ya CHADEMA kote nilikopita, kulikoni...? Au ile OPERATION SANGARA na M4C hazijafanya kazi...?

Nijuavyo mimi, hili ni eneo ambalo lina ushawishi mkubwa kisiasa huku Kanda ya Ziwa, katika kipindi hiki cha miaka miwili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu, ingekuwa ni vyema kwa CHADEMA kuelekeza nguvu zake huku baada ya kuwa tayari imeshakamata kanda ya Kaskazini.

Copy to: Mwita Maranya

acha uongo wewe
 
Niko Mwanza, na nimezunguka mitaa yote ya jiji hili lanye mandhari nzuri ya kuvutia lakini sijabahatika kuona Bendera ya CHADEMA kote nilikopita, kulikoni...? Au ile OPERATION SANGARA na M4C hazijafanya kazi...?

Nijuavyo mimi, hili ni eneo ambalo lina ushawishi mkubwa kisiasa huku Kanda ya Ziwa, katika kipindi hiki cha miaka miwili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu, ingekuwa ni vyema kwa CHADEMA kuelekeza nguvu zake huku baada ya kuwa tayari imeshakamata kanda ya Kaskazini.

Copy to: Mwita Maranya

Sio kweli mkuu,
Pale Stand ya Tanganyika kuna bendera imejengewa mwanzoni kabisa wakati unaingia katika kituo kile cha mabasi cha zamani!

Mabatini stand, kuna bendera katika makutano ya barabara ya nyerere na ile inayoenda kileruu! Moja imechomelewa kwenye kibao cha matangazo, nyngine imetundikwa kwenye cable!

Unapopita mabatini stand kuna nyingine karibu na daraja pale!!

Wengine wataongeza wanazozijua..
 
acha uongo wewe

HIV wewe umezoea kujiunga vita baa vya kijana, Kofia na Mashati?unaonekana hujaelemika? Umetumwa kuhesabu Bendera Na CCM nn?harafu unasema umezunguka ntakupa pole sana na jua na uchovu ulionao, wambie wakutafutie gari au Bajaji likusaidie kupunguza.Unaonekana Umetumwa !!!!!!!
Acha ujinga dogo dogo .
 
Unategemea ukute bendera city centre kwenye sehem za biashara au ofisi za binafsi na umma?
 
...hauna haja ya kuzunguka jiji looote,ukitaka kujua nguvu ya CDM Mwz,watafute Masha na Dialo uwaulize nguvu ya Chadema Mwanza ikoje watakupa jibu mujarabu...
 
Niko Mwanza, na nimezunguka mitaa yote ya jiji hili lanye mandhari nzuri ya kuvutia lakini sijabahatika kuona Bendera ya CHADEMA kote nilikopita, kulikoni...? Au ile OPERATION SANGARA na M4C hazijafanya kazi...?

Nijuavyo mimi, hili ni eneo ambalo lina ushawishi mkubwa kisiasa huku Kanda ya Ziwa, katika kipindi hiki cha miaka miwili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu, ingekuwa ni vyema kwa CHADEMA kuelekeza nguvu zake huku baada ya kuwa tayari imeshakamata kanda ya Kaskazini.

Copy to: Mwita Maranya

acha urongo wewe....mpaka uone watu wamevaa skafu shingoni ndo utaamini kuna wanachama mahali hapo? au kwa vile hujakutana na kitu kama hiki mitaani.

nepe.jpg
 
Acha kukurupuka umelewa nini au wewe ni mwehu.Pita msoma road anzia igoma mpaka hapa nata utaona flag za cdm kibao then rod to shinyanga mpaka usagara buhongwa nyegezi mkolani mkuyuni utaziona.Kama utakua na nauli ya kutosha makongoro road to airport anzia kirumba yote mwaloni kitangiri then gana nyamanoru pasiansi iliganzala sa7 ilemela utakutana nazo kibao hapo hujaenda khewa na kwingineko ndan ya jiji. Omba wenyeji wakutembeze.
 
Zipo, ila CHADEMA c chama cha bendera bali ni chama kilichomea na kunawiri kwenye mioyo y watanzania wapenda maendeleo.
 
Naam, bendera zipo mkuu. Katikati ya jiji sio rahisi kuziona, nenda pembezoni kuleee Nyegezi kona, malimbe, Mkuyuni sokoni, Buhongwa, Nyakato zote, uswazi Mabatini, Kilimahewa, Kona ya Bwiru jirani ya kijiwe cha bodaboda, mlango mmoja etc

Tupo wenye jiji omba MUONGOZO.
 
Sio kweli mkuu,
Pale Stand ya Tanganyika kuna bendera imejengewa mwanzoni kabisa wakati unaingia katika kituo kile cha mabasi cha zamani!

Mabatini stand, kuna bendera katika makutano ya barabara ya nyerere na ile inayoenda kileruu! Moja imechomelewa kwenye kibao cha matangazo, nyngine imetundikwa kwenye cable!

Unapopita mabatini stand kuna nyingine karibu na daraja pale!!

Wengine wataongeza wanazozijua..

sahara njia ya kwenda kanisani,
 
Chadema mwanza wamepoteza mvuto na mahaba tangu sakata la yule meya kula fedha za umma
 
Anataka mumwambie ziko wapi atume vijana wakazing.oe
 
katikati ya stand ya tanganyika kuna tawi la chadema,ukishuka hapo stand ya tax kuna bendera mbili juu ya bango kubwa,ukishuka makoroboi ndio usiseme.una makengeza au upo mwanza ipi wewe?
 
Labda ulipita mtaa wa vitunguu usiku kutafuta wale wanao.....pita mchana mitaani utaziona.
 
Back
Top Bottom