MZABIBUASILI
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 287
- 38
Jana chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tulifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya barafu hapa mjini dodoma. Kiukweli watu walijitokeza kwa wingi sana na mwishoni tuligawa kadi na ziligombaniwa kama mwana mwali.
WANANCHI WAKIWA WANAMSIKILIZA KAMANDA KIGAILA. STAY CONNECTED MAANA MOTO WAKE NI WAKUOTEA MBAAAAAALI.
WANANCHI WAKIWA WANAMSIKILIZA KAMANDA KIGAILA. STAY CONNECTED MAANA MOTO WAKE NI WAKUOTEA MBAAAAAALI.