sambeke
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 713
- 651
Kuna vitu nimefikiria nikagundua kwamba kweli CCM kupitia Rais Magufuli ni wajanja sana, wamewaweka wapinzani bize na maswalu ya kimahakama na kisheria au wamewapigia gitaa la nyimbo fulani hivi amazing na wao wote sasa wanacheza huo mziki mchafu. Yeye Magufuli akisimama jukwaani anahesabu siku ngapi zimebaki kumaliza miaka mitano na tathimi yake ya maendeleo ya nchi, wakati wapinzani wako bize na maandamano na kesi.
Sisi wananchi tulio wengi hatujui hata demokrasia ni nini, tunahitaji maji, dawa hospitalini barabara elimu bora nk....
Hii ndiyo demokrasia yetu ya kweli, Tundu Lissu kushinda kesi mimi sio Ishu, Ishu yangu ni huyo Tundu Lissu kutufanyia makeke alete maji nk.
Hayo ni maoni yangu tu binafsi.
Sisi wananchi tulio wengi hatujui hata demokrasia ni nini, tunahitaji maji, dawa hospitalini barabara elimu bora nk....
Hii ndiyo demokrasia yetu ya kweli, Tundu Lissu kushinda kesi mimi sio Ishu, Ishu yangu ni huyo Tundu Lissu kutufanyia makeke alete maji nk.
Hayo ni maoni yangu tu binafsi.