Chadema/ukuta

sambeke

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
713
Reaction score
651
Kuna vitu nimefikiria nikagundua kwamba kweli CCM kupitia Rais Magufuli ni wajanja sana, wamewaweka wapinzani bize na maswalu ya kimahakama na kisheria au wamewapigia gitaa la nyimbo fulani hivi amazing na wao wote sasa wanacheza huo mziki mchafu. Yeye Magufuli akisimama jukwaani anahesabu siku ngapi zimebaki kumaliza miaka mitano na tathimi yake ya maendeleo ya nchi, wakati wapinzani wako bize na maandamano na kesi.

Sisi wananchi tulio wengi hatujui hata demokrasia ni nini, tunahitaji maji, dawa hospitalini barabara elimu bora nk....

Hii ndiyo demokrasia yetu ya kweli, Tundu Lissu kushinda kesi mimi sio Ishu, Ishu yangu ni huyo Tundu Lissu kutufanyia makeke alete maji nk.

Hayo ni maoni yangu tu binafsi.
 
Tangu kaingia madarakani umevipata au unaona dalili ya kuvipata? Hapa anaecheza ngoma ya mwenzake nani? Mwisho wa utawala chadema hawataulizwa viwanda wala hospitali wala maji! Kwanini watu kama nyie mnapata nafasi hapa? Inabidi ninyamaze naona ban inaninyemelea
 
Hivi hujui kuwa chadema na Ukuta vimepata umaarufu kwa siku hizi za karibu, mpaka yule uchwara hata hasikiki yuko wapi
 
That is how CDM is made... dictatorial regime mpaka kwa makada wa nyuma ya kicharazo..
Unataka kuleta umangi meza mpaka JF...
Kweli CDM hamnazo..
 
Hivi hujui kuwa chadema na Ukuta vimepata umaarufu kwa siku hizi za karibu, mpaka yule uchwara hata hasikiki yuko wapi
Yep yep.. umaarufu wa kushika ukuta ni very overwhelming, maana kila mtu anashangaa inakuaje watu na akili zao wanashikishwa ukuta kwa kutumia akili za mwenyekiti..
 
Wewe ni mjinga hujui kuwa kitu cha kwanza binadamu hupenda kuwa ncho ni uhuru. Kama hakuna uhuru maisha hyana maana. Kma unabisha kawaulize wafungwa. Wao hupata huduma zote ila wanakosa uhuru
 
Hakuna maendeleo mahali popote penye uhuru wa kila mtu kufanya na kusema atakacho, kwa misingi hiyo hata vitabu vya imani za dini zisingeandika sheria! Wapinzani wanalilia kutopotezwa kwa awamu hii maana wakimuunga mkono JPM wao hawana chao 2020! kuna mambo hata hayahijati elimu ya digriiii!
 
That is how CDM is made... dictatorial regime mpaka kwa makada wa nyuma ya kicharazo..
Unataka kuleta umangi meza mpaka JF...
Kweli CDM hamnazo..

Teh teh. Kwa posti hiyo hapo Lissu angeanza kumwita Mbowe.. mwenyekiti di k te ta uchw ara. Saa hizi angekuwa mwanachama ACT, CCM au.angekua kaungana na Dr Slaa mafichoni. Hahaa chezea Mbowe wewe, waulize Zitto na Kitila wakupe ushahidi.
 
Teh teh. Kwa posti hiyo hapo Lissu angeanza kumwita Mbowe.. mwenyekiti di k te ta uchw ara. Saa hizi angekuwa mwanachama ACT, CCM au.angekua kaungana na Dr Slaa mafichoni. Hahaa chezea Mbowe wewe, waulize Zitto na Kitila wakupe ushahidi.
Yaani siku TL akinyanyua mdomo tu kuhusu mwenyekiti...
Utaona anavyogeuka MSALITI fasta...

That mwenyekiti in CDM is a God!!! Untouchable....
They can all talk shitty stuff kwa JPM bila woga wala kujiuliza... but hawana jeuri ya kuzungumza the same kwa mwenyekiti anayewashikisha ukuta...

CDM Inastaajabisha kabisa!!! Mahakama ikikukuta na kosa la kumtukana ama kumdhihaki Mh. Rais adhabu yake ni kifungo ama faini kubwa, lakini mtu yuko tayari kwa kadhia hiyo ya kuchungulia jela kuliko kuhoji kauli ama nafasi ya mwenyekiti mshikisha ukuta maana adhabu ya kuhoji mamlaka ya mwenyekiti CDM ni kuitwa MSALITI...
 
Yep yep.. umaarufu wa kushika ukuta ni very overwhelming, maana kila mtu anashangaa inakuaje watu na akili zao wanashikishwa ukuta kwa kutumia akili za mwenyekiti..
Umeandika nini sasa? Ndio maana kuna watu wanasema mnajitoa akili! Ni ukuta upi unaoshikwa? Kwa uhakika "sio kila mtu" anashangaa UKUTA bali wengi ambao hawajajitoa akili kama wewe wanashangaa katiba "kusiginwa" kwa kuzuiwa mikutano ya kisiasakwa vyama vingine, lakini "ikaruhusiwa" kwa Shishiemu peke yake!
 
Chadema wakiachwa na kuchekewa watazaa BOKO HARAM
 
Hujaeleweka kabisa. Tundu Lisu na Magufuli wamefanyaje!
 

Mlio wengi wapumbavu wasiojua maana walathamani y ademokrasia mko wangapi? Mapumbavu ni wewe na familia yako tu. Mbwaha mfu.
 
Hivi anayeyacheza makirikiri ya UKUTA mpaka sasa ni nani?
Sio polisi, sio rais, sio wakuu wa Mkoa sio mawaziri yani kwa kifupi serikali yote imesitisha shuhuli zake inakimbizana na UKUTA.
 

Hebu tuende polepole mkuu.

1. Siasa ya vyama vingi hapa kwetu nihalali au haramu

2. Katiba inasemaje kuhusu siasa ya vyama vingi

a) mikutano na maandamano

b) Nafasi ya msajili na majukum yake Vs Rais

c) Uhuru wa habari na kupashana habari kwa wanachama wa vyama vya siasa
 

Hebu tuende polepole mkuu.

1. Siasa ya vyama vingi hapa kwetu nihalali au haramu

2. Katiba inasemaje kuhusu siasa ya vyama vingi

a) mikutano na maandamano

b) Nafasi ya msajili na majukum yake Vs Rais

c) Uhuru wa habari na kupashana habari kwa wanachama wa vyama vya siasa
 

Tehe!! tehe!! tehe!! we endelea kushika ukuta kwa fikra za mwenyekiti huku akikuaminisha katiba imesiginwa wakati nikikuuliza hata kifungu kimoja cha katiba kilichosiginwa huwezi kunitajia..

nikutakie ushikaji mahiri wa ukuta..,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…