uyo jamaa acidanganye ukerewe chadema inakubalika kwani Jana tumefungua kampeni zetu rasimi natumefungulia muriti mkutano ulifana vibaya ataukifananisha na ufunguzi wao ccm walikosa watu kabisa isiookua wao walibeba watu kutoka kila kata na pia walianza kufarakana kutokana na waliobebwa toka asubuhi hadi jioni awakupewa chakula wakati waliaidiwa. Viva ukawa viva chadema