CHADEMA/UKAWA,mnahitaji uhuru gani?

CHADEMA/UKAWA,mnahitaji uhuru gani?

Uhuru wa kupata Taarifa


Japo tujibiwe Jesca amefikaje Chuo kikuu na kuwa mwaka wa pili mwaka huu wa masomo .
 
Hebu wekeni wazi hapa. Kama vyama vya upinzani nchini,na katika afya ya demokrasia,mnahitaji uhuru gani?

Wahusika,ingawa hawajanituma,wapo hewani kufuatilia mtakacho ili mpewe hata kama kitakawia kidogo. Tajeni uhuru muutakao ndani na nje ya Bunge.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Geita)

Achana na hao, wamechizi Magufuli ana 4G wakati wamekomaa na 3G.

Kama vipi ibuka desire hapa upate moja barriiid
 
Mzee tupatupa kama uko Geita hebu ulizia issue ya Mawazo kama hujaonyeshwa wahusika mtaani wakila bata na wengine wakizunguka na Ma-Prado- viongozi wa chama chako pendwa.
Uliza kwa siri hapo kwenye ofisi zenu za chama karibu na choo cha Max. Watakwambia!

Tawi lishaasi na kuwa la chama tawala.
Poleni sana, Issue ya Mawazo ya nn tena labda cheki na dada Pendo, mbunge anayemaliza muda wake
 
Hebu wekeni wazi hapa. Kama vyama vya upinzani nchini,na katika afya ya demokrasia,mnahitaji uhuru gani?

Wahusika,ingawa hawajanituma,wapo hewani kufuatilia mtakacho ili mpewe hata kama kitakawia kidogo. Tajeni uhuru muutakao ndani na nje ya Bunge.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Geita)
Her!! Wee jamaa simu umenunua nyingine au, maana ile si wamefunga?
 
Mzee Tupatupa, tunadai haki ya kufanya shughuli za kisiasa kwa uhuru.
Haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kujadiliana na wananchi juu ya changamoto zinazotukabili kama jamii.
Haki ya kutoa maoni bila kubugudhiwa. (Freedom of expression);tutoe maoni yetu juu ya budget ya serikali, tuongelee kashfa ya Lugumi, tujadili escrow, uuzwaji wa nyumba za serikali, mikataba ya UDA. n.k
Tunahitaji mshindi wa uchaguzi atokane na kura za wananchi na sio tume.
Tunahitaji mipaka ya mihimili mitatu ya serikali iwepo na ionekane na bunge liache kugeuzwa kikao cha chama kama ilivyo sasa.
Tunahitaji ushindi wa Maalim Zanzibar utambuliwe.
Tunahitaji tume huru ya uchaguzi.
Tunahitaji ukomo wa figisufigisu kwa mameya wetu na halmashauri zilizo chini yetu.
Tunahitaji mauaji ,mateso na udhalilishaji kisiasa uliokwisha fanyika utambuliwe kitaifa na wahusika wachukuliwe hatua.
Tunahitaji bunge live..

Mzee tupatupa, nikiendelea ni litania ila kimsingi CCM imetuchosha ipumzike.
#I HATE MAGUFULI

Paul Alex.
Ulipomalizia ndio mie naendeleza.

Nakuonea huruma maana uchaguzi mlipigwa, naomba unieleze ni wakala yupi alidai matokeo ya chadema yaliibwa.
Kama hamna tambua liko tatizo kwa wanaojifanya waliporwa kura.

2010 tulishuhudia baadhi ya majimbo kura zikiibwa mfano segerea Makongoro wa ccm enzi zile leo chadema alimfanya mbaya Mpendazoe, figisu la mnyika ubingo alimanusura akose ubunge.

2015 wapi uliskia vurugu, zaidi ya nyumbu waliodai popote ulipo na sie tupo.

Musoma makini walimpiga mpaka deki barabara mbona ndio la jumbo la kwanza kutangazwa Vicent Nyerere nje, nalo pia unabisha.

Mikoa yote ya kanda ya ziwa kama sio nchi nzima iliduwaa kuona mmeleta mgombea aliyekataliwa na baba wa taifa 1995, na kielelezo cha fiasco,mlitia pamba maskioni acheni dozi iwaingie.

Election aftermath inawasumbua, nawapa pole sana na povu mnalotoa
 
Back
Top Bottom