Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,119
- 136,866
Haya, kama kulikuwa na shaka au sintofahamu juu ya suala la katiba mpya, hali hiyo imeondolewa na kauli ya si mwingine bali mtukufu wetu mwenyewe, rais wetu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mwenyewe kwa mdomo wake wakati alipoongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wake na wao alisema kwamba wakati wa kampeni hakuahidi chochote kuhusu katiba mpya na hivyo kwake si suala lenye kipaumbele.
Sasa nyie chama kikuu cha upinzani mmejipangaje ? Bado mtashiriki kwenye huo uchaguzi na kuendelea kuwa wasindikizaji wa CCM ikulu?
Wiki chache zilizopita niliwashauri msusie chaguzi zote zijazo hadi hapo kitapoeleweka kuhusiana na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.
Vipi sasa baada ya kusikia moja kwa moja kutoka kwa mkulu, bado mstashiriki huo uchaguzi [wa 2020]?
Mwenyewe kwa mdomo wake wakati alipoongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wake na wao alisema kwamba wakati wa kampeni hakuahidi chochote kuhusu katiba mpya na hivyo kwake si suala lenye kipaumbele.
Sasa nyie chama kikuu cha upinzani mmejipangaje ? Bado mtashiriki kwenye huo uchaguzi na kuendelea kuwa wasindikizaji wa CCM ikulu?
Wiki chache zilizopita niliwashauri msusie chaguzi zote zijazo hadi hapo kitapoeleweka kuhusiana na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.
Vipi sasa baada ya kusikia moja kwa moja kutoka kwa mkulu, bado mstashiriki huo uchaguzi [wa 2020]?