CHADEMA / UKAWA kuanza sera zao rasmi

CHADEMA / UKAWA kuanza sera zao rasmi

CONSTRUCTIVE THOUGHT

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,158
Reaction score
417
Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.
 
Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.

Ukawa wamejaa jf hata usishangae komenti
 
Huna hoja gamba wewe
 

Attachments

  • 1438801648978.jpg
    1438801648978.jpg
    30.3 KB · Views: 252
Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.

wewe inakuhusu nn sasa
 
Timetable ya Campaign bado mkuu...
Uvumilivu wa subira muhimu.
Kiongozi vuta subiraaa, mambo ya kianza ndy ulete hoja yako ya kijani hapa...
 
Back
Top Bottom