CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.