CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
- Thread starter
- #21
Hoja ninayo.Huna hoja gamba wewe
Hoja ninayo.Huna hoja gamba wewe
wee jamaa unashida sanaZipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.
Kwani kampeni zimeanza?
Shida gani mkuu?wee jamaa unashida sana
Sawa mkuu.... siunajua athali ya lugha mama katika matamshi.Sio dora ni dola!
Hoja ninayo ila haijakufarahisha kwakua inaukweli wakati wewe unataka hoja za kukudanganya.
Kama bado mbona wanamsafisha kila kukicha....Kwani kampeni zimeanza?
Na umekosea tena hapo kwenye 'athali'......ila poa tu hoja yako (or absence of it) tumeshaipata!Sawa mkuu.... siunajua athali ya lugha mama katika matamshi.
Mkuu upo juu.Na umekosea tena hapo kwenye 'athali'......ila poa tu hoja yako (or absence of it) tumeshaipata!
Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni. Hii inatokana na ukweli kwamba wanatumia muda mwingi kumshafisha mgombea wao wa kiti cha Urais, Lowassa kuliko kuwaeleza watanzania watawafanyia nini kama watapewa ridhaa ya kuchukua dora. Hivyo kuna dalili za wazi kuwa watakumbuka shuka kumekucha.
Shida gani mkuu?
Kama bado mbona wanamsafisha kila kukicha....
Ivi ukiwa upinzani mnakuwa hamnazo. Soma vizuri utaelewa, nimesema 'Zipo dalili za wazi kuwa CHADEMA / UKAWA kuanza kutoa sera zao katika kipindi cha mwishoni kabisa cha kampeni'. Kwakauli hiyo sijamaanisha wameanza...... soma, fikiria, tafsiri kisha jibu usiwe unakurupuka kujibu!Hivi ukiwa Ccm lazima uwe hamnazo?? Kwa akili yako ndogo umeshindwa kutambua muda wa kampeni kuwa bado?? CCM imeharibu kabisa vijana kiakili shame!