G11
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 225
- 61
CHADEMA wanakomboa mtanzania gani?
mimi wewe umekufa
CHADEMA wanakomboa mtanzania gani?
Ni dhahiri kuwa wewe ni mmoja wa wale wasiopenda kuiona CDM ikiendelea na harakati za kumkomboa Mtanzania.
Uijui chalinze ,dini kuna wakristo na waislamu idadi sawa .kabila wakwere .maasai,wakwavi,ect .ondoa hii hoja yako ya ukabila na udini .,na watanzania wote wakulaani kwa kutuletea ubaguzi kwenye karne hii .
Jiandaeni kwa kipigo kingine chadema kwisha habari yao wamepotezwa na ACT.
Chadema na wakwere/waislam wa chalinze wapi na wapi?
Mngelikua na akili ya mbali hiyo pesa inayoenda kwenye kampeini za chalinze mngeipeleka kwenye mradi wowote wa wabunge wenu walau hata jimbo moja au msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima ili kumnusuru mbunge huyo na kimbuga kinachowanyemelea kwa kupoteza majimbo kibao 2015 kuliko kuifanyia kampeini.....
Hiyo nafasi cuf inawafaa sana lakini sio chadema....
Siasa za kibongo huitaji akili nyingi kuzichambua hasa linapokuja suala la udini/ukabila/ukanda...
Cuf kamata fulsa twende zetu.
Yakupasa uolewe sasa umri wako unakubalika, ila jaribu kujiheshimu kidogo ili upate mme bora.Huu uropokaji unaoufanya hapa JF unakupunguzia ubora wako.
Wameuweza MOTO wa CCM-A hadi wanatapatapa sembuse CCM-C a.k.a ACT(waha)Mkuu, hakika chadema wanaweweseka sana siku hizi. Moto wa ACT hawauwezi
Uijui chalinze ,dini kuna wakristo na waislamu idadi sawa .kabila wakwere .maasai,wakwavi,ect .ondoa hii hoja yako ya ukabila na udini .,na watanzania wote wakulaani kwa kutuletea ubaguzi kwenye karne hii .
Chadema na wakwere/waislam wa chalinze wapi na wapi?
Mngelikua na akili ya mbali hiyo pesa inayoenda kwenye kampeini za chalinze mngeipeleka kwenye mradi wowote wa wabunge wenu walau hata jimbo moja au msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima ili kumnusuru mbunge huyo na kimbuga kinachowanyemelea kwa kupoteza majimbo kibao 2015 kuliko kuifanyia kampeini.....
Hiyo nafasi cuf inawafaa sana lakini sio chadema....
Siasa za kibongo huitaji akili nyingi kuzichambua hasa linapokuja suala la udini/ukabila/ukanda...
Cuf kamata fulsa twende zetu.