CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

urio f

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2017
Posts
302
Reaction score
271
Mzee Lowassa amechoka na hana mvuto tena kwa wananchi kama mwaka 2015.Napendekeza Membe aanze kufuatiliwa kuona kama atakuwa tayari kujiunga na CDM.Membe kwa sasa ni mtaji mkubwa kwa CDM.Najua kina Nape,Kikwete,Ghasia,Wenyeviti na makatibu wa CCM walioachwa na CCM na wengine wengi watamuunga mkono.Hapo ushindi ni dhahiri.Ni vizuri Lowassa akaanza kujulishwa mapema.Maana huyu Mzee ni king'ang'anizi.Atatufanya kama alivyowafanya CCM.Akiendelea kuachwa atumie vipesa vyake kwenye uendeshaji wa CDM atatupa shida huko mbeleni.Aambiwe kabisa.
 
Eti "kufuatiliwa" kwani hajulikani au haonekani? Kafichwa au kajificha?

Na washawasha!
 
Ni ukweli mzee lowasa kachoka achukue nafasi ya mareham mzee ndesamulo uwenyekiti wa kanda na mkoa
Kama mwenzie sumaye toka uwaziri mkuu hadi uwenyekiti wa kanda ya pwani pamemfit
 
Naona viroba ulivyokunywaga miezi minne iliyopita bado vinafanya kazi
 
Mzee Lowassa amechoka na hana mvuto tena kwa wananchi kama mwaka 2015.Napendekeza Membe aanze kufuatiliwa kuona kama atakuwa tayari kujiunga na CDM.Membe kwa sasa ni mtaji mkubwa kwa CDM.Najua kina Nape,Kikwete,Ghasia,Wenyeviti na makatibu wa CCM walioachwa na CCM na wengine wengi watamuunga mkono.Hapo ushindi ni dhahiri.Ni vizuri Lowassa akaanza kujulishwa mapema.Maana huyu Mzee ni king'ang'anizi.Atatufanya kama alivyowafanya CCM.Akiendelea kuachwa atumie vipesa vyake kwenye uendeshaji wa CDM atatupa shida huko mbeleni.Aambiwe kabisa.

Yaan TZ iongozwe na yeyote yule tu? Angalieni msije simamisha na mazezeta. Mtabaki peke yenu. Huyu unayempigia chapuo ana isfa gani ya kuwa raisi?

Tafhadli naomb muwe serious!
 
Duuh ! Mkuu acha demokrasia ichukue mkondo wake. Akina sisi tupo tutachukua fomu ya urais kupitia chadema na tutafanya vizuri. Hakuna haja ya kumtafuta mgombea nje ya utaratibu tuliyojiwekea
 
Kwa akili kama hizi, ndomna hua najikuta naropoka tu aiseeeee....
 
Lowassa hakwenda CHADEMA kwa sababu ni mzuri, alikwenda kwenye chama chao cha watu wa kaskazini, Membe anatoka huko?
 
Back
Top Bottom