ritz naona unasoma katikati ya mistari.Ulichokiona wewe ni hoja na udhibitivu wa hoja hizo.BRAVO!Molemo,
Kweli mmeshinda hongereni sana tumeona nguvu ya umma Chadema inakubalika kila sehemu.
Ndoto za mchana hata mwehu anaota
Chama
Gongo la mboto DSM
Dream Big
Ndoto za mchana hata mwehu anaota
Chama
Gongo la mboto DSM
Ndoto zetu zinaendelea kutimia. Mlikuwa mna kata 27 mmeambulia 22 - you are stepping down little by little.
Where are the 5?
Nilitegemea M4C ingewasaidia kumbe geresha tu !
Chama
Gongo la mboto DSM
Kilichosaidia kutoka kata zenu 27, mkaporomoka hadi kata 22 tukiwa tumewapokonya kata zingine ni nini?
molemo,ndiyo tumeshinda,lakini ushindi ni mdogo sana kulingana na kasi ya mabadiliko,tatizo liko wapi??
Hatukutumia nguvu nyingi kuzipata 22 nyie mmetumia nguvu nyingi sana au umesahau vishindo vya M4C? Kumbe kelele nyingi tu sera hakuna
Chama
Gongo la mboto DSM
Natamani ningeweza kumgeuza kila mtu akawa chadema, period!
CCM HAIKUTUMIA NGUVU NYINGI KATIKA CHAGUZI HIZI?? Chama speak reality unless otherwise unafanya ushabiki! Ulitaka watumie nguvu gani zaidi.
Yaani pesa zote....nguvu ya dola....n.k, n.k, siyo nguvu nyingi
Subiri, kidogo utakubali tu. Mimi nashangaa sana CDM inamudu vipi kuchuku majimba, na kata za CCM, kipindi hiki wakati wapiga kura ni wale wale. Niliona Igunga jinsi vija walivyolia kwa kutokujiandikisha. Nasubiri hasa 2014-15 nijiridhishe.
CCM imemwaga sera na watu wanaona matendo
Chama
Gongo la mboto DSM
Una aibu kusema matendo! Matendo gani wameona? Rushwa katika chaguzi zenu...hadi chooni...Kutumia dola kuwatisha wananchi ili wasiwe huru kufanya uchaguzi? Ufisadi au?
Sema tu KUNA baadhi ya maeneo watu hawajapata elimu ya uraia. Hawajaijua vizuri CCM. Kadiri M4C inavyojipanga tena....ndipo utakuja kujua kwamba watu walikuwa hawajua uchafu wa chama chenu!