CHADEMA tudumishe Resilience yetu

Hili swala sio la CHADEMA tu, ni swala la vyama vyote vya upinzani (hata wale waliojiuza pamoja n vyama vyao kama machangudoa - CUF) pamoja na raia wapenda demokrasia wapinge vikali huu uchaguzi na utawala.
Maybe you do not understand the value of 330 million shillings every month.
 
Chadema itulie tu,ni mapema mno isitoe matamko yatakayoleta taharuki na misuguano na vyombo vya usalama,maadamu wameona mbilinge walizochezewa watulize boli ligi bado inaendelea hata kama hawatakuwepo bungeni kuna nafasi nyingi za kufanyia siasa,miaka mitano itapita fasta ni kufanya maandalizi ya kujiandaa na uchaguzi ujao, Ushindi mnono unakuja,ni safari ndefu kuufikia
 
Hapa ndipo mnaposhindwa! Hamna hekima, busara, wala Adabu. Pia mmeishakuwa brainwashed! Ninyi ni vimeo kwa Uwepo wa Tanzania imara, inayopiga hatua za kimaendeleo katika nyanja zote! Ninyi ni mamluki, bahati nzuri Tanzania ni kubwa sana!
Sina chama mimi, tunaposhindwa mimi na nani?
We jamaa nimekublock nashangaa reply zako zinanifikia, sepa niache, sina muda na stupid people
 
Upuuzi mtupu. Nguvu ya umma ipi wakati huo umma umewakataa kwa kura za kufuru. Yani mtu anapigwa gap za kura 30K,bado anaongea uvundo hapa. Mmepata mlichokuwa mnakitafuta.
 
Tuliwambia tokeni mitandaoni, njooeni field nyie mkaishia kujadili kingereza cha Magu humu mitandaoni
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtakoma mwaka huu. Mlifikiri mnashindania umonitor wa darasa la nne?
 
CHADEMA mko mtandaoni tu ila huko field mambo ni tofauti kabisaa.
Kwa hiyo wale waliokuwa wanahudhuria mikutano ya CDM tena kwa ari kubwa ilikuwa ni facebook etc!!? Kuweni hata na soni nyie ccm
 
Kwa hiyo wale waliokuwa wanahudhuria mikutano ya CDM tena kwa ari kubwa ilikuwa ni facebook etc!!? Kuweni hata na soni nyie ccm
Wale waliend kumshangaa Terminator jinsi alivyo survive shaba.
 
viongozi wetu tunawaamini, na sisi wafuasi wa chama tupo na tunaona yote yanayotendeka. yote
Kutakuwa na njaa Sana. Njaa hii itatugawa siku za usoni. Kuna vigogo wa Chadema watanunuliwa.
 
Tuliwaambia hapa acheni matusi tutawafundisha adabu,

Haya sasa ngoja dawa iwaingie vizuri.
 
Kwani Chadema bado ipo?
 
Kigogo, Robert,Lissu,Maria Sarungi, Shangazi wameua Chama kwa propaganda za kitoto wakifikiri watanzania ni wakuburuzwa kwa Keyboard!
 
We sema unapigania ugali wako kima wewe!
 
Hupunguz wala huongezi chochote, ni kama hewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…