Chadema Temeke kupasua ngome ya CCM

Chadema Temeke kupasua ngome ya CCM

bennymas

Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
68
Reaction score
30
Chadema Temeke wajipanga kupasua ngome ya mh zena mgaya diwani wa tandika kwa kuchukua makamanda wake 50 kurudisha kadi siku ya jumapili tarehe 27/10/2013. Hivyo mnakaribishwa kujionea jinsi ngome inavyo vunjwa ,vua gamba vaa gwanda
 
Chadema Temeke Bado Sana Haipo Vizur. Hakuna Wafanya Kazi Wote Ni Waheshimiwa Tu!!i
 
chadema temeke wajipanga kupasua ngome ya mh zena mgaya diwani wa tandika kwa kuchukua makamanda wake 50 kurudisha kadi siku ya jumapili tarehe 27/10/2013. Hivyo mnakaribishwa kujionea jinsi ngome inavyo vunjwa ,vua gamba vaa gwanda

asanteni sana makamanda , funua watu akili wajitambue !
 
Back
Top Bottom