Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Wewe ni malaya tu ya CCM upo ya Chadema upo.
usisahau na ACT niko!
Wewe ni malaya tu ya CCM upo ya Chadema upo.
mkuu umegeuka mpumbavu sasa!
umegeuka sanamu
umegeuka na kuwa mpuuzi kutetea ambayo haviteteeki
umekuwa adui wa utu wako mzuri
ebu jiangalie
haaahahahhhahahahahaahahh.....Ulitaka aisemee Act chama cha wenye msongo waawazo
ushatoka chumbani?
Huyo Waberoya ana allergy na jina la Mbowe akisikia Mbowe lazima akurupuke hata bila kuuliza sababu, ya Tarime hayajui wala hayamhusu angeuliza aambiwe.Chunguza jibu la Tarime utajiona jinsi ulivyokua mjinga
rejea nilichokiandika na angalia alichokisema Mh heche then ndio urudi kukoment
Ahahahaha!! Akiguswa Mbowe yanaitwa majungu daah!!.Majungu hayasaidii uchaguzi umekwisha hakuna mtu aliyeshinda zaidi ya Chadema kushinda.
Niko chumbani.....unataka nikuhughulikie?
Akiguswa Mohamed Said inakuwaje?Ahahahaha!! Akiguswa Mbowe yanaitwa majungu daah!!.
Mleta mada umevurugwa......hivi mbowe anawachagulia mtu au nyie ndo mnaamua nan mumchague ??
mkuu umegeuka mpumbavu sasa!
umegeuka sanamu
umegeuka na kuwa mpuuzi kutetea ambayo haviteteeki
umekuwa adui wa utu wako mzuri
ebu jiangalie
Waberoya,
Hao wapo wengi ...wa aina hiyo. Wamedanganywa na Mbowe wakadanganyika na kupumbazwa sasa wamegeuka kuwa mazezeta-taahira. Hao ndio waliokuwa wanaviringisha mikono eti fisadi Lowassa ni mabadiliko na bado leo hii wataenda kumpokea fisadi wao akijitokeza.
mkuu, umefika huko? kisa post tu za JF?
hivi wenzetu wengine kwa nn hamchukulii life as simple as this??
just joked to created amicable atmosphere and friendly one unakuja na maneno ya ajabu, pole sana mkuu
sio maisha hayo!
Lowassa, haji na hatakuja kuwa rais wa Tanzania
na ameweka gundu chadema kuwa hakuna rais atakayekuja kutoka kwenye hicho chama