Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mimi hii naiita ni hofu ya kushindwa katika uchaguzi wa Arumeru
mashariki na kuanza malalamiko mapema kama kawaida yao.
DR. SLAA leo eti Jeshi la Polisi limeandaa vijana 95 waliohitimu
mafunzo CCP ili wakawe chanzo cha fujo katika uchaguzi wa Arumeru
Source: ITV habari
My take: Acheni uoga na visingizio bhana subirini muone mtakavyo
angukia pua.
mashariki na kuanza malalamiko mapema kama kawaida yao.
DR. SLAA leo eti Jeshi la Polisi limeandaa vijana 95 waliohitimu
mafunzo CCP ili wakawe chanzo cha fujo katika uchaguzi wa Arumeru
Source: ITV habari
My take: Acheni uoga na visingizio bhana subirini muone mtakavyo
angukia pua.