Ndugu wana JF
Naomba niwasihi chadema kuwa Mh Shibuda atakivuruga chama ni heri kumuondoa mapema na walifanya kosa kumchukua sasa.
Upande mwingine swali kwa chadema je hizi posho mlikubaliana wote au iliibuka tu. Mwisho Mkae mkao wa kula maana hii hali ya taharuki na mabishano yanaua chama na kupunguza uaminifu ndani ya chama. Wananchi huku pembeni wanajiuliza kwa watu wananunuliwa maana Watz wengi hatuwezi kuridhika. Hili suala la Arusha na hili suala la Shibuda liangaliwe uzuri. Namuomba Dr Slaa, Zitto na Mbowe wakae vizuri. Waongee na Shibuda ili kama hakubaliani na makubaliano ya chamani heri akae pembeni.
Nchi itajengwa na wachache maana watz wengi kwa sasa tamaa na kutoridhika ndio hapa tulipo mpaka sasa maana kila idara, kila mtu, kila mtz, kila mwanachama, kila raia anatamani atajilike kuliko kufanya kazi kwa kutumia ubongo wake na ubunifu bila kufoji, bila kutumia chama, bila kutumia taasisi,bila kutumia serikali bila kutumia chochote ambacho yeye atapata pesa nyingi kwa siku.
MFANO umeme kwa nini tusiandamane kumshinikiza ngeleja aachie ngazi na wenzake. MBONA NCHI ZA WENZETU WANAFANYA NA MATOKEO YAKE nchi na watz ambao hatuna uwezo wa kununua generator, Solar panel tutaishi je bila kuuza juice, bila photocopy, bila kuuza bar, bila kutengeneza magari, kuuza maji, kuuza bite etc
NAOMBA NIWAKILISHE CHADEMA LIANGALIENI HILI NA MKAE KWA MAKINI NA HASA WALE WANAOHAMA CHAMA KUTOKA CHAMA KINGINE KUJA CHADEMA. WATAUA CHAMA HATA 2015 HAIJAFIKA.
Naomba niwasihi chadema kuwa Mh Shibuda atakivuruga chama ni heri kumuondoa mapema na walifanya kosa kumchukua sasa.
Upande mwingine swali kwa chadema je hizi posho mlikubaliana wote au iliibuka tu. Mwisho Mkae mkao wa kula maana hii hali ya taharuki na mabishano yanaua chama na kupunguza uaminifu ndani ya chama. Wananchi huku pembeni wanajiuliza kwa watu wananunuliwa maana Watz wengi hatuwezi kuridhika. Hili suala la Arusha na hili suala la Shibuda liangaliwe uzuri. Namuomba Dr Slaa, Zitto na Mbowe wakae vizuri. Waongee na Shibuda ili kama hakubaliani na makubaliano ya chamani heri akae pembeni.
Nchi itajengwa na wachache maana watz wengi kwa sasa tamaa na kutoridhika ndio hapa tulipo mpaka sasa maana kila idara, kila mtu, kila mtz, kila mwanachama, kila raia anatamani atajilike kuliko kufanya kazi kwa kutumia ubongo wake na ubunifu bila kufoji, bila kutumia chama, bila kutumia taasisi,bila kutumia serikali bila kutumia chochote ambacho yeye atapata pesa nyingi kwa siku.
MFANO umeme kwa nini tusiandamane kumshinikiza ngeleja aachie ngazi na wenzake. MBONA NCHI ZA WENZETU WANAFANYA NA MATOKEO YAKE nchi na watz ambao hatuna uwezo wa kununua generator, Solar panel tutaishi je bila kuuza juice, bila photocopy, bila kuuza bar, bila kutengeneza magari, kuuza maji, kuuza bite etc
NAOMBA NIWAKILISHE CHADEMA LIANGALIENI HILI NA MKAE KWA MAKINI NA HASA WALE WANAOHAMA CHAMA KUTOKA CHAMA KINGINE KUJA CHADEMA. WATAUA CHAMA HATA 2015 HAIJAFIKA.