CHADEMA Solwa - Shinyanga yapamba moto

CHADEMA Solwa - Shinyanga yapamba moto

Mimi na mke wangu na watoto wangu nawatakia kila jambo jema kabisa . Muda unakuja polisi watakuwa wachache hawatakuwa na muda wa kutunga uongo kama Kalenga . Kazeni buti
 
  1. chadema katika jimbo la solwa yaendelea kujizatiti katika kata za usule,mishepo,bukene,na katika kijiji cha masunula.
Safi sana!!!
Hii inaonyesha wasukuma wenzangu sasa wameamka, Meatu, maswa, bariadi, bukombe kote ni upinzani, mubarikiwe sana wana wa Shinyanga.
 
Back
Top Bottom