CHADEMA Solwa - Shinyanga yapamba moto

CHADEMA Solwa - Shinyanga yapamba moto

Joined
Jan 30, 2014
Posts
34
Reaction score
1
chadema katika jimbo la solwa yaendelea kujizatiti katika kata za usule,mishepo,bukene,na katika kijiji cha masunula.
 
pigeni kazi msikatishwe tamaa na matokeo ya kalenga kukata tamaa ni dhambi mbaya kushinda ata uchawi
 
tunawashukuru sana makamanda , tushirikiane kukimaliza chama chakavu ccm .
 
mwenye haki wangu ataanguka mara saba nami nitamwinua,na utambi niliowasha hautazimika,kamanda safi sana ukombozi sio lelemama
 
Jimbo la solwa ni jimbo langu na kati ya majimbo yenye eneo kubwa hapa tz
linapakana na Nzega, kahama na Mwanza.
Huyu anayesema Chadema imefanya chochote ni muongo. Hilo jimbo ni ngome ya CCM. Labda kidogo CUF maana lipumba ni mtu wa tabora.

Jimbo la solwa ni gumu sana kwa wapinzani. Ikumbukwe wamewahi kufa wabunge watatu mfururizo in one year.
Solwa siyo kaskazini. Watu wa solwa wanajitambua.
 
Kazi ya ukombozi ni ngumu na maadui ni wengi lakini tutashinda tu kwa jina la Mungu aliye hai
 
Jimbo la solwa ni jimbo langu na kati ya majimbo yenye eneo kubwa hapa tz
linapakana na Nzega, kahama na Mwanza.
Huyu anayesema Chadema imefanya chochote ni muongo. Hilo jimbo ni ngome ya CCM. Labda kidogo CUF maana lipumba ni mtu wa tabora.

Jimbo la solwa ni gumu sana kwa wapinzani. Ikumbukwe wamewahi kufa wabunge watatu mfururizo in one year.
Solwa siyo kaskazini. Watu wa solwa wanajitambua.

Acha kupoteza muda wako kujibizana hao misukule wana misongo ya mawazo inawatesa na jf ndo sehem yao ya kujiliwaza.
 
hakuna kukata tamaa lazima tuwaondoe hawa wakoloni weusi kila siku tunazidi kuongeza idadi ya kura na mwakani watakiona cha moto
 
hivi kampeni bado hazijaanza kule chalinze? maana sioni post yoyote ya progress kama tulivyokuwa tunapata kutoka kalenga.
 
Back
Top Bottom