Kama kweli wewe unasimamia ulichokiandika tuambie wewe ni mjumbe wa baraza kuu la Chadema kutoka wilaya gani/ jimbo gani? au wewe ni katibu wa mkoa gani kutoka chadema, maana ni muhimu tutambuane sio kuongelea nyuma ya keyboard halafu unajidai umekerwa na Ukawa kwa maslahi ya maccm Maintarahamwe, weka ushahidi wa hizo fedha unazosema Mbowe anatamaa nazo, alipewa ama anapewa na nani? Walipeana wapi? Kwa madhumuni gani?
Hakika wewe ni maintarahamwe ambao mnaendekeza njaa, ndo mko mnatekeleza project ya propaganda dhidi ya katiba mpya isipatikane, maana mnapoipiga vita ukawa kwa hofu ya umoja huu kuimarika, mnapata mashaka na nafasi zenu zinazoweza saa kufanya ufisadi, tena mnatumia fedha za walipa kodi kupingana na ukawa inayopigania maslahi ya Watanzania,
Hopless Moving Figure maintarahamwe wote
Mkuu hawa vijana wa book 7 ukawa umewachanganya akili mazima! Ndo maana matamko ya kisanii hayaishi humu ndani,na bado hadi wataomba poo.